Page 292
ਕੋਊ ਨਰਕ ਕੋਊ ਸੁਰਗ ਬੰਛਾਵਤ ॥
ko-oo narak ko-oo surag banchhaavat.
Kama matokeo yake, wengine walienda jehanamu na wengine walitamani mbinguni.
ਆਲ ਜਾਲ ਮਾਇਆ ਜੰਜਾਲ ॥
aal jaal maa-i-aa janjaal.
Mitego ya kinyumbani na misongamano ya Maya,
ਹਉਮੈ ਮੋਹ ਭਰਮ ਭੈ ਭਾਰ ॥
ha-umai moh bharam bhai bhaar.
Mizigo ya ubinafsi, kujihusisha, shaka na hofu,
ਦੂਖ ਸੂਖ ਮਾਨ ਅਪਮਾਨ ॥
dookh sookh maan apmaan.
Huzuni na raha, heshima na fedheha,
ਅਨਿਕ ਪ੍ਰਕਾਰ ਕੀਓ ਬਖ੍ਯ੍ਯਾਨ ॥
anik parkaar kee-o bakh-yaan.
Yote haya yalikuja kuelezwa kwa njia tofauti.
ਆਪਨ ਖੇਲੁ ਆਪਿ ਕਰਿ ਦੇਖੈ ॥
aapan khayl aap kar daykhai.
Yeye anautazama mchezo wake ambao aliumba Mwenyewe.
ਖੇਲੁ ਸੰਕੋਚੈ ਤਉ ਨਾਨਕ ਏਕੈ ॥੭॥
khayl sankochai ta-o naanak aikai. ||7||
Ee Nanak, anapoutamatisha mchezo wake, basi Yeye anaachwa peke yake.
ਜਹ ਅਬਿਗਤੁ ਭਗਤੁ ਤਹ ਆਪਿ ॥
jah abigat bhagat tah aap.
Popote alipo mtawa wa Mungu asiyeonekana, Yeye Mwenyewe yupo hapo.
ਜਹ ਪਸਰੈ ਪਾਸਾਰੁ ਸੰਤ ਪਰਤਾਪਿ ॥
jah pasrai paasaar sant partaap.
Yeye hufunua upana wa uumbaji wake kwa utukufu wa Watakatifu wake.
ਦੁਹੂ ਪਾਖ ਕਾ ਆਪਹਿ ਧਨੀ ॥
duhoo paakh kaa aapeh Dhanee.
Yeye ndiye bwana wa pande zote mbili (wa miundo yake inayodhihirika na isiyodhihirika).
ਉਨ ਕੀ ਸੋਭਾ ਉਨਹੂ ਬਨੀ ॥
un kee sobhaa unhoo banee.
Utukufu wa watakatifu hao unawastahili hao peke yao.
ਆਪਹਿ ਕਉਤਕ ਕਰੈ ਅਨਦ ਚੋਜ ॥
aapeh ka-utak karai anad choj.
Yeye Mwenyewe anafanya miujiza yake na kucheza kwa raha tele.
ਆਪਹਿ ਰਸ ਭੋਗਨ ਨਿਰਜੋਗ ॥
aapeh ras bhogan nirjog.
Yeye Mwenyewe anafurahia raha, ila haadhiriwi na raha hizo.
ਜਿਸੁ ਭਾਵੈ ਤਿਸੁ ਆਪਨ ਨਾਇ ਲਾਵੈ ॥
jis bhaavai tis aapan naa-ay laavai.
Yeyote anayetaka, Yeye anambariki kwa Jina lake,
ਜਿਸੁ ਭਾਵੈ ਤਿਸੁ ਖੇਲ ਖਿਲਾਵੈ ॥
jis bhaavai tis khayl khilaavai.
Na yeyote anayetaka, huwaacha wamenaswa katika raha za kidunia.
ਬੇਸੁਮਾਰ ਅਥਾਹ ਅਗਨਤ ਅਤੋਲੈ ॥
baysumaar athaah agnat atolai.
Ee Mungu usiye na mwisho, usiyeeleweka na wa milele,
ਜਿਉ ਬੁਲਾਵਹੁ ਤਿਉ ਨਾਨਕ ਦਾਸ ਬੋਲੈ ॥੮॥੨੧॥
ji-o bulaavhu ti-o naanak daas bolai. ||8||21||
Ee Nanak, unavyowaelekeza watawa wako, ndivyo wanavyozungumza.
ਸਲੋਕੁ ॥
salok.
Shalok:
ਜੀਅ ਜੰਤ ਕੇ ਠਾਕੁਰਾ ਆਪੇ ਵਰਤਣਹਾਰ ॥
jee-a jant kay thaakuraa aapay vartanhaar.
Ee Bwana wa viumbe na wanyama wote, Wewe Mwenyewe unadumu kote.
ਨਾਨਕ ਏਕੋ ਪਸਰਿਆ ਦੂਜਾ ਕਹ ਦ੍ਰਿਸਟਾਰ ॥੧॥
naanak ayko pasri-aa doojaa kah daristaar. ||1||
Ee Nanak, Mungu anaenea kote; isipokuwa Yeye, wapi mwingine yeyote wa kuonekana?
ਅਸਟਪਦੀ ॥
asatpadee.
Ashtapadee:
ਆਪਿ ਕਥੈ ਆਪਿ ਸੁਨਨੈਹਾਰੁ ॥
aap kathai aap sunnaihaar.
Mungu Mwenyewe ndiye anayezungumza, na Yeye Mwenyewe ndiye anayesikiliza.
ਆਪਹਿ ਏਕੁ ਆਪਿ ਬਿਸਥਾਰੁ ॥
aapeh ayk aap bisthaar.
Yeye Mwenyewe ni yule Mmoja, na Yeye Mwenyewe ni wengi. (anadumu katika uumbaji wake)
ਜਾ ਤਿਸੁ ਭਾਵੈ ਤਾ ਸ੍ਰਿਸਟਿ ਉਪਾਏ ॥
jaa tis bhaavai taa sarisat upaa-ay.
Inapompendeza, Yeye anaumba dunia,
ਆਪਨੈ ਭਾਣੈ ਲਏ ਸਮਾਏ ॥
aapnai bhaanai la-ay samaa-ay.
Na inapompendeza, anaiunganisha ndani yake tena.
ਤੁਮ ਤੇ ਭਿੰਨ ਨਹੀ ਕਿਛੁ ਹੋਇ ॥
tum tay bhinn nahee kichh ho-ay.
Ee Mungu, hakuna chochote kilicho nje yako.
ਆਪਨ ਸੂਤਿ ਸਭੁ ਜਗਤੁ ਪਰੋਇ ॥
aapan soot sabh jagat paro-ay.
Umeweka dunia nzima katika utiifu wa amri yako.
ਜਾ ਕਉ ਪ੍ਰਭ ਜੀਉ ਆਪਿ ਬੁਝਾਏ ॥
jaa ka-o parabh jee-o aap bujhaa-ay.
Ambaye Mungu Mwenyewe anawezesha mtu kuelewa dhana hii,
ਸਚੁ ਨਾਮੁ ਸੋਈ ਜਨੁ ਪਾਏ ॥
sach naam so-ee jan paa-ay.
Mtu huyo pekee hugundua Naam ya milele
ਸੋ ਸਮਦਰਸੀ ਤਤ ਕਾ ਬੇਤਾ ॥
so samadrasee tat kaa baytaa.
Mtu kama huyo anaangalia wote bila ubaguzi, na ndiye ajuaye uhalisia.
ਨਾਨਕ ਸਗਲ ਸ੍ਰਿਸਟਿ ਕਾ ਜੇਤਾ ॥੧॥
naanak sagal sarisat kaa jaytaa. ||1||
Ee Nanak, Yeye ndiye mshindi wa dunia nzima.
ਜੀਅ ਜੰਤ੍ਰ ਸਭ ਤਾ ਕੈ ਹਾਥ ॥
jee-a jantar sabh taa kai haath.
Viumbe na wanyama wote wamo chini ya amri yake.
ਦੀਨ ਦਇਆਲ ਅਨਾਥ ਕੋ ਨਾਥੁ ॥
deen da-i-aal anaath ko naath.
Yeye ni mwenye Huruma kwa wapole, na tegemeo la wanyonge.
ਜਿਸੁ ਰਾਖੈ ਤਿਸੁ ਕੋਇ ਨ ਮਾਰੈ ॥
jis raakhai tis ko-ay na maarai.
Hakuna anayeweza kumwangamiza yule ambaye analindwa na Mungu.
ਸੋ ਮੂਆ ਜਿਸੁ ਮਨਹੁ ਬਿਸਾਰੈ ॥
so moo-aa jis manhu bisaarai.
Hata hivyo, mfikirie mtu kuwa amekufa kiroho ambaye anaachwa na Mungu.
ਤਿਸੁ ਤਜਿ ਅਵਰ ਕਹਾ ਕੋ ਜਾਇ ॥
tis taj avar kahaa ko jaa-ay.
Kwa kumuacha Yeye, mtu anaweza kuenda wapi kwingine?
ਸਭ ਸਿਰਿ ਏਕੁ ਨਿਰੰਜਨ ਰਾਇ ॥
sabh sir ayk niranjan raa-ay.
Mungu mkuu safi ndiye mlinzi wa vyote.
ਜੀਅ ਕੀ ਜੁਗਤਿ ਜਾ ਕੈ ਸਭ ਹਾਥਿ ॥
jee-a kee jugat jaa kai sabh haath.
Yeye hudhibiti siri zote za viumbe vyote.
ਅੰਤਰਿ ਬਾਹਰਿ ਜਾਨਹੁ ਸਾਥਿ ॥
antar baahar jaanhu saath.
Jua kwamba Mungu daima yupo nawe ndani mwako na nje pia.
ਗੁਨ ਨਿਧਾਨ ਬੇਅੰਤ ਅਪਾਰ ॥
gun niDhaan bay-ant apaar.
ambaye ni hazina ya fadhila, Hana mwisho wala kikomo,
ਨਾਨਕ ਦਾਸ ਸਦਾ ਬਲਿਹਾਰ ॥੨॥
nanak daas sadaa balihaar.||2||
Ee Nanak, watawa wa Mungu wamewekwa wakfu milele kwake.
ਪੂਰਨ ਪੂਰਿ ਰਹੇ ਦਇਆਲ ॥
pooran poor rahay da-i-aal.
Mungu Kamili, mwenye Huruma anaenea kote,
ਸਭ ਊਪਰਿ ਹੋਵਤ ਕਿਰਪਾਲ ॥
sabh oopar hovat kirpaal.
Na fadhila yake inaenezwa kwa wote.
ਅਪਨੇ ਕਰਤਬ ਜਾਨੈ ਆਪਿ ॥
apnay kartab jaanai aap.
Yeye Mwenyewe anazijua njia zake binafsi.
ਅੰਤਰਜਾਮੀ ਰਹਿਓ ਬਿਆਪਿ ॥
antarjaamee rahi-o bi-aap.
Ajuaye fikira zetu, anaenea kote.
ਪ੍ਰਤਿਪਾਲੈ ਜੀਅਨ ਬਹੁ ਭਾਤਿ ॥
paratipaalai jee-an baho bhaat.
Yeye anathamini viumbe vyake vinavyoishi kwa njia nyingi sana.
ਜੋ ਜੋ ਰਚਿਓ ਸੁ ਤਿਸਹਿ ਧਿਆਤਿ ॥
jo jo rachi-o so tiseh Dhi-aat.
Yeyote ambaye Yeye ameumba, hutafakari kumhusu Yeye.
ਜਿਸੁ ਭਾਵੈ ਤਿਸੁ ਲਏ ਮਿਲਾਇ ॥
jis bhaavai tis la-ay milaa-ay.
Yeyote anayempendeza, Yeye huunganisha mtu huyo naye Mwenyewe,
ਭਗਤਿ ਕਰਹਿ ਹਰਿ ਕੇ ਗੁਣ ਗਾਇ ॥
bhagat karahi har kay gun gaa-ay.
Na watu kama hao wanamuabudu Yeye kwa kuimba sifa zake.
ਮਨ ਅੰਤਰਿ ਬਿਸ੍ਵਾਸੁ ਕਰਿ ਮਾਨਿਆ ॥
man antar biswas kar maani-aa.
Yule ambaye kwa imani ya kina amemsadiki Yeye,
ਕਰਨਹਾਰੁ ਨਾਨਕ ਇਕੁ ਜਾਨਿਆ ॥੩॥
karanhaar nanak ik jaani-aa. ||3||
Ee Nanak, yeye amemgundua Muumba mmoja
ਜਨੁ ਲਾਗਾ ਹਰਿ ਏਕੈ ਨਾਇ ॥
jan laagaa har aikai naa-ay.
Mtawa ambaye amelimakinikia tu Jina la Mungu,
ਤਿਸ ਕੀ ਆਸ ਨ ਬਿਰਥੀ ਜਾਇ ॥
tis kee aas na birthee jaa-ay.
Hamu zake haziendi bure.
ਸੇਵਕ ਕਉ ਸੇਵਾ ਬਨਿ ਆਈ ॥
sayvak ka-o sayvaa ban aa-ee.
Inastahili mtawa kutafakari kuhusu Mungu na kuutumikia uumbaji wake.
ਹੁਕਮੁ ਬੂਝਿ ਪਰਮ ਪਦੁ ਪਾਈ ॥
hukam boojh param pad paa-ee.
Kwa kuelewa mapenzi ya Mungu yeye anapata hali kuu ya kiroho.
ਇਸ ਤੇ ਊਪਰਿ ਨਹੀ ਬੀਚਾਰੁ ॥
is tay oopar nahee beechaar
Hakuna tafakari nzuri zaidi kuliko kutafakari kuhusu Jina la Mungu kwa wale,
ਜਾ ਕੈ ਮਨਿ ਬਸਿਆ ਨਿਰੰਕਾਰੁ ॥
jaa kai man basi-aa nirankaar
Ambao Mungu asiye na maumbile anaishi akilini mwao.
ਬੰਧਨ ਤੋਰਿ ਭਏ ਨਿਰਵੈਰ ॥
banDhan tor bha-ay nirvair.
Kwa kuvunja vifungo vya Maya, wanakuwa huru kutoka kwa chuki,
ਅਨਦਿਨੁ ਪੂਜਹਿ ਗੁਰ ਕੇ ਪੈਰ ॥
an-din poojeh gur kay pair.
Na kwa heshima wanafuata ushauri wa Guru daima.
ਇਹ ਲੋਕ ਸੁਖੀਏ ਪਰਲੋਕ ਸੁਹੇਲੇ ॥
ih lok sukhee-ay parlok suhaylay.
Wao wamo katika amani katika dunia hii, na katika ile itakayofuata,