Page 291
ਆਪਨ ਖੇਲੁ ਆਪਿ ਵਰਤੀਜਾ ॥
aapan khayl aap varteejaa.
Yeye Mwenyewe ameupanga mchezo wake mwenyewe,
ਨਾਨਕ ਕਰਨੈਹਾਰੁ ਨ ਦੂਜਾ ॥੧॥
naanak karnaihaar na doojaa. ||1||
Ee Nanak, hakuna Muumba mwengine.
ਜਬ ਹੋਵਤ ਪ੍ਰਭ ਕੇਵਲ ਧਨੀ ॥
jab hovat parabh kayval Dhanee.
Kulipokuwa na Mungu tu, Bwana,
ਤਬ ਬੰਧ ਮੁਕਤਿ ਕਹੁ ਕਿਸ ਕਉ ਗਨੀ ॥
tab banDh mukat kaho kis ka-o ganee.
Basi nani alifikiriwa kuwa ameambatishwa kwa Maya au kukombolewa kutoka kwa Maya?
ਜਬ ਏਕਹਿ ਹਰਿ ਅਗਮ ਅਪਾਰ ॥
jab aykeh har agam apaar.
Wakati kulikuwa na Mungu pekee, Asiyefahamika na Asiye na mwisho,
ਤਬ ਨਰਕ ਸੁਰਗ ਕਹੁ ਕਉਨ ਅਉਤਾਰ ॥
tab narak surag kaho ka-un a-utaar.
Basi ni nani aliyeingia jehanamu, na ni nani aliyeingia mbinguni?
ਜਬ ਨਿਰਗੁਨ ਪ੍ਰਭ ਸਹਜ ਸੁਭਾਇ ॥
jab nirgun parabh sahj subhaa-ay.
Wakati Mungu alikuwa bila sifa, katika utulivu kamili,
ਤਬ ਸਿਵ ਸਕਤਿ ਕਹਹੁ ਕਿਤੁ ਠਾਇ ॥
tab siv sakat kahhu kit thaa-ay.
basi (shiva) roho ilikuwa wapi na (shakti) ilikuwa wapi
ਜਬ ਆਪਹਿ ਆਪਿ ਅਪਨੀ ਜੋਤਿ ਧਰੈ ॥
jab aapeh aap apnee jot Dharai.
Wakati aliushika Mwanga wake Mwenyewe kwake Mwenyewe,
ਤਬ ਕਵਨ ਨਿਡਰੁ ਕਵਨ ਕਤ ਡਰੈ ॥
tab kavan nidar kavan kat darai.
Basi nani aliyekuwa bila woga, na nani aliyeogopa yeyote?
ਆਪਨ ਚਲਿਤ ਆਪਿ ਕਰਨੈਹਾਰ ॥
aapan chalit aap karnaihaar.
Yeye Mwenyewe ndiye Mwigizaji wa michezo yake mwenyewe;
ਨਾਨਕ ਠਾਕੁਰ ਅਗਮ ਅਪਾਰ ॥੨॥
naanak thaakur agam apaar. ||2||
Ee Nanak, Bwana Mkuu hawezi Kufahamika wala hana mwisho.
ਅਬਿਨਾਸੀ ਸੁਖ ਆਪਨ ਆਸਨ ॥
abhinaasee sukh aapan aasan.
Wakati Mungu asiyeweza kufa alizama katika hali yake mwenyewe ya amani na utulivu,
ਤਹ ਜਨਮ ਮਰਨ ਕਹੁ ਕਹਾ ਬਿਨਾਸਨ ॥
tah janam maran kaho kahaa binaasan.
Basi kuzaliwa, kufa na maangamizi yalikuwa wapi?
ਜਬ ਪੂਰਨ ਕਰਤਾ ਪ੍ਰਭੁ ਸੋਇ ॥
jab pooran kartaa parabh so-ay.
Wakati alikuwepo Mungu pekee, Muumba kamili,
ਤਬ ਜਮ ਕੀ ਤ੍ਰਾਸ ਕਹਹੁ ਕਿਸੁ ਹੋਇ ॥
tab jam kee taraas kahhu kis ho-ay.
Basi nani aliyeogopa kifo?
ਜਬ ਅਬਿਗਤ ਅਗੋਚਰ ਪ੍ਰਭ ਏਕਾ ॥
jab abigat agochar parabh aykaa.
Wakati kulikuwa na Mungu Mmoja pekee, asiyedhihirika na asiyeeleweka,
ਤਬ ਚਿਤ੍ਰ ਗੁਪਤ ਕਿਸੁ ਪੂਛਤ ਲੇਖਾ ॥
tab chitar gupat kis poochhat laykhaa.
Basi Chittar na Gupat (malaika wa kunakili vitendo) walimuuliza nani aliyoyatenda?
ਜਬ ਨਾਥ ਨਿਰੰਜਨ ਅਗੋਚਰ ਅਗਾਧੇ ॥
jab naath niranjan agochar agaaDhay.
Wakati alikuwepo tu Bwana Safi, Asiyeeleweka, Asiyefahamika,
ਤਬ ਕਉਨ ਛੁਟੇ ਕਉਨ ਬੰਧਨ ਬਾਧੇ ॥
tab ka-un chhutay ka-un banDhan baaDhay.
Basi nani aliyekombolewa, na nani aliyenaswa katika vifungo vya Maya?
ਆਪਨ ਆਪ ਆਪ ਹੀ ਅਚਰਜਾ ॥
aapan aap aap hee acharjaa.
Mungu huyo mzuri pekee ndiye aliye kama Yeye Mwenyewe.
ਨਾਨਕ ਆਪਨ ਰੂਪ ਆਪ ਹੀ ਉਪਰਜਾ ॥੩॥
naanak aapan roop aap hee uparjaa. ||3||
Ee Nanak, Yeye Mwenyewe ndiye aliyeumba Muundo wake Mwenyewe.
ਜਹ ਨਿਰਮਲ ਪੁਰਖੁ ਪੁਰਖ ਪਤਿ ਹੋਤਾ ॥
jah nirmal purakh purakh pat hotaa.
Wakati Kiumbe Safi, Bwana wa binadamu alikuwa peke yake,
ਤਹ ਬਿਨੁ ਮੈਲੁ ਕਹਹੁ ਕਿਆ ਧੋਤਾ ॥
tah bin mail kahhu ki-aa Dhotaa.
Hakukuwa na uchafu wa dhambi, hivyo kulikuwa na kipi cha kusafishwa?
ਜਹ ਨਿਰੰਜਨ ਨਿਰੰਕਾਰ ਨਿਰਬਾਨ ॥
jah niranjan nirankaar nirbaan.
Wakati kulikuwa tu na Mungu safi, asiye na umbo na asiye na hamu zozote,
ਤਹ ਕਉਨ ਕਉ ਮਾਨ ਕਉਨ ਅਭਿਮਾਨ ॥
tah ka-un ka-o maan ka-un abhimaan.
Basi nani aliyekuwa na kujistahi na nani aliyekuwa na ubinafsi?
ਜਹ ਸਰੂਪ ਕੇਵਲ ਜਗਦੀਸ ॥
jah saroop kayval jagdees.
Wakati kulikuwa na Bwana wa Ulimwengu pekee,
ਤਹ ਛਲ ਛਿਦ੍ਰ ਲਗਤ ਕਹੁ ਕੀਸ ॥
tah chhal chhidar lagat kaho kees.
Basi nani aliyechafuliwa na ulaghai na dhambi?
ਜਹ ਜੋਤਿ ਸਰੂਪੀ ਜੋਤਿ ਸੰਗਿ ਸਮਾਵੈ ॥
jah jot saroopee jot sang samaavai.
Wakati udhihirisho wa Mwanga (Mungu) alizama katika Mwanga Wake Mwenyewe,
ਤਹ ਕਿਸਹਿ ਭੂਖ ਕਵਨੁ ਤ੍ਰਿਪਤਾਵੈ ॥
tah kiseh bhookh kavan tariptaavai.
Basi nani aliyetamani Maya, na nani aliyeridhishwa?
ਕਰਨ ਕਰਾਵਨ ਕਰਨੈਹਾਰੁ ॥
karan karaavan karnaihaar.
Muumba ndiye mtendaji wa kila kitu na Msingi wa misingi yote.
ਨਾਨਕ ਕਰਤੇ ਕਾ ਨਾਹਿ ਸੁਮਾਰੁ ॥੪॥
naanak kartay kaa naahi sumaar. ||4||
Ee Nanak, Muumba amezidi kukadiriwa
ਜਬ ਅਪਨੀ ਸੋਭਾ ਆਪਨ ਸੰਗਿ ਬਨਾਈ ॥
jab apnee sobhaa aapan sang banaa-ee.
Alipoubeba Utukufu wake ndani mwake,
ਤਬ ਕਵਨ ਮਾਇ ਬਾਪ ਮਿਤ੍ਰ ਸੁਤ ਭਾਈ ॥
tab kavan maa-ay baap mitar sut bhaa-ee.
Basi nani alikuwa mama, baba, mtoto au ndugu?
ਜਹ ਸਰਬ ਕਲਾ ਆਪਹਿ ਪਰਬੀਨ ॥
jah sarab kalaa aapeh parbeen.
Mungu Mwenyewe alipokuwa mkuu zaidi katika nguvu zote,
ਤਹ ਬੇਦ ਕਤੇਬ ਕਹਾ ਕੋਊ ਚੀਨ ॥
tah bayd katayb kahaa ko-oo cheen.
Basi alikuwepo nani akisoma Vedas na katebas (vitabu vya kidini)?
ਜਬ ਆਪਨ ਆਪੁ ਆਪਿ ਉਰਿ ਧਾਰੈ ॥
jab aapan aap aap ur Dhaarai.
Wakati Yeye alijiweka Mwenyewe, kwake mwenyewe,
ਤਉ ਸਗਨ ਅਪਸਗਨ ਕਹਾ ਬੀਚਾਰੈ ॥
ta-o sagan apasgan kahaa beechaarai.
Badi nani aliyefikiria ishara kuwa nzuri au mbaya?
ਜਹ ਆਪਨ ਊਚ ਆਪਨ ਆਪਿ ਨੇਰਾ ॥
jah aapan ooch aapan aap nayraa.
Wakati Yeye Mwenyewe alikuwa wa juu zaidi na Mwenyewe wa chini (katika cheo),
ਤਹ ਕਉਨ ਠਾਕੁਰੁ ਕਉਨੁ ਕਹੀਐ ਚੇਰਾ ॥
tah ka-un thaakur ka-un kahee-ai chayraa.
Basi nani aliyekuwa bwana, na nani aliyekuwa mtumishi?
ਬਿਸਮਨ ਬਿਸਮ ਰਹੇ ਬਿਸਮਾਦ ॥
bisman bisam rahay bismaad.
Watu wanastaajabishwa na miujiza ya ajabu ya Uumbaji wako.
ਨਾਨਕ ਅਪਨੀ ਗਤਿ ਜਾਨਹੁ ਆਪਿ ॥੫॥
nanak apnee gat jaanhu aap. ||5||
Nanak anasema, Ee Mungu ni Wewe pekee unayejua hali Yako
ਜਹ ਅਛਲ ਅਛੇਦ ਅਭੇਦ ਸਮਾਇਆ ॥
jah achhal achhayd abhayd samaa-i-aa.
Wakati yule Mmoja asiyeweza kudanganywa, asiyeweza kuangamia na asiyeeleweka alizama ndani mwake Mwenyewe.
ਊਹਾ ਕਿਸਹਿ ਬਿਆਪਤ ਮਾਇਆ ॥
oohaa kiseh bi-aapat maa-i-aa.
Basi nani aliyeyumbishwa na Maya (vivutio vya kidunia)?
ਆਪਸ ਕਉ ਆਪਹਿ ਆਦੇਸੁ ॥
aapas ka-o aapeh aadays.
Wakati Yeye alitoa heshima kwake Mwenyewe,
ਤਿਹੁ ਗੁਣ ਕਾ ਨਾਹੀ ਪਰਵੇਸੁ ॥
tihu gun kaa naahee parvays.
Basi miundo tatu za Maya (nguvu, dhambi na fadhila) haikudumu.
ਜਹ ਏਕਹਿ ਏਕ ਏਕ ਭਗਵੰਤਾ ॥
jah aykeh ayk ayk bhagvantaa.
Wakati kulikuwa na Mungu Mmoja, Mkuu peke yake,
ਤਹ ਕਉਨੁ ਅਚਿੰਤੁ ਕਿਸੁ ਲਾਗੈ ਚਿੰਤਾ ॥
tah ka-un achint kis laagai chintaa.
Basi nani hakuwa na wasiwasi, na nani aliyehisi wasiwasi?
ਜਹ ਆਪਨ ਆਪੁ ਆਪਿ ਪਤੀਆਰਾ ॥
jah aapan aap aap patee-aaraa.
Wakati Yeye alikuwa peke yake wa kumpendeza Yeye,
ਤਹ ਕਉਨੁ ਕਥੈ ਕਉਨੁ ਸੁਨਨੈਹਾਰਾ ॥
tah ka-un kathai ka-un sunnaihaaraa.
Basi nani aliyekuwa hatibu na nani aliyekuwa msikilizaji?
ਬਹੁ ਬੇਅੰਤ ਊਚ ਤੇ ਊਚਾ ॥
baho bay-ant ooch tay oochaa.
Yeye ni mkubwa asiye na mwisho na aliye juu zaidi ya wote.
ਨਾਨਕ ਆਪਸ ਕਉ ਆਪਹਿ ਪਹੂਚਾ ॥੬॥
naanak aapas ka-o aapeh pahoochaa. ||6||
Ee Nanak, Yeye pekee anaweza kujifahamu Mwenyewe.
ਜਹ ਆਪਿ ਰਚਿਓ ਪਰਪੰਚੁ ਅਕਾਰੁ ॥
jah aap rachi-o parpanch akaar.
Wakati Mungu aliutengeneza ulimwengu huu wa muundo unaoonekana,
ਤਿਹੁ ਗੁਣ ਮਹਿ ਕੀਨੋ ਬਿਸਥਾਰੁ ॥
tihu gun meh keeno bisthaar.
Alifanya dunia itii miundo mitatu yaMaya (dhambi, fadhila na nguvu).
ਪਾਪੁ ਪੁੰਨੁ ਤਹ ਭਈ ਕਹਾਵਤ ॥
paap punn tah bha-ee kahaavat.
Kisha dhana ya dhambi na fadhila ikaja kuwepo.