Page 469
ਅੰਧੀ ਰਯਤਿ ਗਿਆਨ ਵਿਹੂਣੀ ਭਾਹਿ ਭਰੇ ਮੁਰਦਾਰੁ ॥
anDhee rayat gi-aan vihoonee bhaahi bharay murdaar.
Watumishi wao ni wajinga kutokana na ukosefu wa maarifa, wamejawa na moto wa hamu za kidunia, na wamekufa kiroho.
ਗਿਆਨੀ ਨਚਹਿ ਵਾਜੇ ਵਾਵਹਿ ਰੂਪ ਕਰਹਿ ਸੀਗਾਰੁ ॥
gi-aanee nacheh vaajay vaaveh roop karahi seegaar.
Wanaoitwa wenye busara, wanafanya densi na kucheza tu ala zao za muziki, wakijipamba kwa mapambo mazuri.
ਊਚੇ ਕੂਕਹਿ ਵਾਦਾ ਗਾਵਹਿ ਜੋਧਾ ਕਾ ਵੀਚਾਰੁ ॥
oochay kookeh vaadaa gaavahi joDhaa kaa veechaar.
Wanapiga nduru kwa sauti, wakiimba kuhusu vita vya awali na tenzi za mashujaa.
ਮੂਰਖ ਪੰਡਿਤ ਹਿਕਮਤਿ ਹੁਜਤਿ ਸੰਜੈ ਕਰਹਿ ਪਿਆਰੁ ॥
moorakh pandit hikmat hujat sanjai karahi pi-aar
Wasomi na wabukuzi wa uongo wanapenda kukusanya utajiri wa kidunia kwa mabishano na hila za ujanja.
ਧਰਮੀ ਧਰਮੁ ਕਰਹਿ ਗਾਵਾਵਹਿ ਮੰਗਹਿ ਮੋਖ ਦੁਆਰੁ ॥
Dharmee Dharam karahi gaavaaveh mangeh mokh du-aar.
Watu waadilifu hupoteza ustahili wa uadilifu wao kwa kumuomba Mungu wokovu kama malipo.
ਜਤੀ ਸਦਾਵਹਿ ਜੁਗਤਿ ਨ ਜਾਣਹਿ ਛਡਿ ਬਹਹਿ ਘਰ ਬਾਰੁ ॥
jatee sadaaveh jugat na jaaneh chhad baheh ghar baar.
Wanajiita waseja, na kuacha nyumba zao, lakini hawafahamu njia ya kweli ya maisha.
ਸਭੁ ਕੋ ਪੂਰਾ ਆਪੇ ਹੋਵੈ ਘਟਿ ਨ ਕੋਈ ਆਖੈ ॥
sabh ko pooraa aapay hovai ghat na ko-ee aakhai.
Kila mtu hujiita kamili; hakuna anayejiita mpungufu.
ਪਤਿ ਪਰਵਾਣਾ ਪਿਛੈ ਪਾਈਐ ਤਾ ਨਾਨਕ ਤੋਲਿਆ ਜਾਪੈ ॥੨॥
pat parvaanaa pichhai paa-ee-ai taa naanak toli-aa jaapai. ||2||
Ee Nanak, sifa ya kweli ya mtu itajulikana tu pale ambapo mtu huyo anahukumiwa dhidi ya kipimo cha staha yake iliyopokelewa katika mahakama ya Mungu.
ਮਃ ੧ ॥
mehlaa 1.
Salok. Ya Guru wa Kwanza:
ਵਦੀ ਸੁ ਵਜਗਿ ਨਾਨਕਾ ਸਚਾ ਵੇਖੈ ਸੋਇ ॥
vadee so vajag naankaa sachaa vaykhai so-ay.
Ee Nanak, kile ambacho Mungu ameagiza ni sharti kitatendeka kwa sababu Yeye Mwenyewe anahakikisha (kwamba kila kitu kinatendeka kulingana na amri Yake).
ਸਭਨੀ ਛਾਲਾ ਮਾਰੀਆ ਕਰਤਾ ਕਰੇ ਸੁ ਹੋਇ ॥
sabhnee chhaalaa maaree-aa kartaa karay so ho-ay.
Kila mtu hufanya jitihada kuu kutenda kulingana na matakwa yao, lakini kinachotendeka pekee ni ambacho Muumba anatenda.
ਅਗੈ ਜਾਤਿ ਨ ਜੋਰੁ ਹੈ ਅਗੈ ਜੀਉ ਨਵੇ ॥
agai jaat na jor hai agai jee-o navay.
Katika mahakama ya Mungu, hadhi ya kijamii na nguvu haina maana, kwa sababu huko, mtu huhusiana na watu wapya kabisa (ambao hawayumbishwi na hadhi ya mtu yeyote)
ਜਿਨ ਕੀ ਲੇਖੈ ਪਤਿ ਪਵੈ ਚੰਗੇ ਸੇਈ ਕੇਇ ॥੩॥
jin kee laykhai pat pavai changay say-ee kay-ay. ||3||
Hao wachache tu ndio hufikiriwa kuwa wazuri au wema, ambao wametawazwa na staha akaunti yao inapochunguzwa katika mahakama ya Mungu.
ਪਉੜੀ ॥
pa-orhee.
Pauree:
ਧੁਰਿ ਕਰਮੁ ਜਿਨਾ ਕਉ ਤੁਧੁ ਪਾਇਆ ਤਾ ਤਿਨੀ ਖਸਮੁ ਧਿਆਇਆ ॥
Dhur karam jinaa ka-o tuDh paa-i-aa taa tinee khasam Dhi-aa-i-aa.
Ee Mungu, ni waliotafakari kuhusu Wewe kwa ujitoaji wa upendo, ambao wameagiziwa tamati hiyo.
ਏਨਾ ਜੰਤਾ ਕੈ ਵਸਿ ਕਿਛੁ ਨਾਹੀ ਤੁਧੁ ਵੇਕੀ ਜਗਤੁ ਉਪਾਇਆ ॥
aynaa jantaa kai vas kichh naahee tuDh vaykee jagat upaa-i-aa.
Hakuna kitu kilicho katika nguvu ya viumbe hawa; Wewe umeumba dunia hii na watu wenye uwezo na tabia tofauti.
ਇਕਨਾ ਨੋ ਤੂੰ ਮੇਲਿ ਲੈਹਿ ਇਕਿ ਆਪਹੁ ਤੁਧੁ ਖੁਆਇਆ ॥
iknaa no tooN mayl laihi ik aaphu tuDh khu-aa-i-aa.
Wengine, Wewe unajiunganisha nao Mwenyewe, na wengine, Wewe unawapotosha.
ਗੁਰ ਕਿਰਪਾ ਤੇ ਜਾਣਿਆ ਜਿਥੈ ਤੁਧੁ ਆਪੁ ਬੁਝਾਇਆ ॥
gur kirpaa tay jaani-aa jithai tuDh aap bujhaa-i-aa.
Kwa yule ambaye Wewe umejidhihirisha, amekugundua Wewe kwa neema ya Guru.
ਸਹਜੇ ਹੀ ਸਚਿ ਸਮਾਇਆ ॥੧੧॥
sehjay hee sach samaa-i-aa. ||11||
Yeye ameunganishwa na Wewe kisilika.
ਸਲੋਕੁ ਮਃ ੧ ॥
salok mehlaa 1.
Salok, Guru wa Kwanza:
ਦੁਖੁ ਦਾਰੂ ਸੁਖੁ ਰੋਗੁ ਭਇਆ ਜਾ ਸੁਖੁ ਤਾਮਿ ਨ ਹੋਈ ॥
dukh daaroo sukh rog bha-i-aa jaa sukh taam na ho-ee.
Ee Mungu, dunia hii Yako ni geni mno, ambapo mateso yanakuwa suluhisho, na raha inakuwa ugonjwa. Pale ambapo kuna raha tele, hakuna huzuni.
ਤੂੰ ਕਰਤਾ ਕਰਣਾ ਮੈ ਨਾਹੀ ਜਾ ਹਉ ਕਰੀ ਨ ਹੋਈ ॥੧॥
tooN kartaa karnaa mai naahee jaa ha-o karee na ho-ee. ||1||
Ee Mungu, Wewe ndiwe muumba na mtendaji wa vyote, mimi ni bure. Hata nikijaribu, hakuna kinachotendeka.
ਬਲਿਹਾਰੀ ਕੁਦਰਤਿ ਵਸਿਆ ॥
balihaaree kudrat vasi-aa.
Ee Muumba unayeenea kote, najiweka wakfu Kwako.
ਤੇਰਾ ਅੰਤੁ ਨ ਜਾਈ ਲਖਿਆ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
tayraa ant na jaa-ee lakhi-aa. ||1|| rahaa-o.
Vikomo vyako haviwezi kujulikana.
ਜਾਤਿ ਮਹਿ ਜੋਤਿ ਜੋਤਿ ਮਹਿ ਜਾਤਾ ਅਕਲ ਕਲਾ ਭਰਪੂਰਿ ਰਹਿਆ ॥
jaat meh jot jot meh jaataa akal kalaa bharpoor rahi-aa.
Mwanga Wako unaenea ulimwenguni kote, na Wewe unaonekana kama Mwanga katika viumbe vyote. Nguvu Yako kuu inaenea kote.
ਤੂੰ ਸਚਾ ਸਾਹਿਬੁ ਸਿਫਤਿ ਸੁਆਲ੍ਹ੍ਹਿਉ ਜਿਨਿ ਕੀਤੀ ਸੋ ਪਾਰਿ ਪਇਆ ॥
tooN sachaa saahib sifat su-aaliha-o jin keetee so paar pa-i-aa.
Ee Mungu, Wewe ndiwe Bwana wa Kweli; Sifa Yako ni nzuri sana. Yule anayeimba sifa Zako, hubebwa na kuvukishwa bahari dunia ya dhambi.
ਕਹੁ ਨਾਨਕ ਕਰਤੇ ਕੀਆ ਬਾਤਾ ਜੋ ਕਿਛੁ ਕਰਣਾ ਸੁ ਕਰਿ ਰਹਿਆ ॥੨॥
kaho naanak kartay kee-aa baataa jo kichh karnaa so kar rahi-aa. ||2||
Ee Nanak, imba sifa za Muumba; chochote anachopenda kufanya, Yeye anafanya.
ਮਃ ੨ ॥
mehlaa 2.
Salok, Guru wa Pili:
ਜੋਗ ਸਬਦੰ ਗਿਆਨ ਸਬਦੰ ਬੇਦ ਸਬਦੰ ਬ੍ਰਾਹਮਣਹ ॥
jog sabdaN gi-aan sabdaN bayd sabdaN baraahmaneh.
Jukumu la kweli la Yogi ni kupata hekima takatifu; na jukumu la Brahmin (kuhani wa Kihindu) ni kujifunza na kutafakari Vedas.
ਖਤ੍ਰੀ ਸਬਦੰ ਸੂਰ ਸਬਦੰ ਸੂਦ੍ਰ ਸਬਦੰ ਪਰਾ ਕ੍ਰਿਤਹ ॥
khatree sabdaN soor sabdaN soodar sabdaN paraa kirteh.
Jukumu la Kshatriya ni kupigana kwa ujasiri kwenye uwanja wa vita, na jukumu la Shudras ni kuwatumikia wengine.
ਸਰਬ ਸਬਦੰ ਏਕ ਸਬਦੰ ਜੇ ਕੋ ਜਾਣੈ ਭੇਉ ॥ ਨਾਨਕੁ ਤਾ ਕਾ ਦਾਸੁ ਹੈ ਸੋਈ ਨਿਰੰਜਨ ਦੇਉ ॥੩॥
sarab sabdaN ayk sabdaN jay ko jaanai bhay-o. naanak taa kaa daas hai so-ee niranjan day-o. ||3||
Lakini jukumu la wote ni kutafakari kuhusu Jina la Mungu. Nanak ni mtumishi wa yule ambaye anaijua siri hii kwa sababu yeye ni udhihirisho wa kimwili wa Mungu mtakatifu.
ਮਃ ੨ ॥
mehlaa 2.
Salok, Guru wa Pili:
ਏਕ ਕ੍ਰਿਸਨੰ ਸਰਬ ਦੇਵਾ ਦੇਵ ਦੇਵਾ ਤ ਆਤਮਾ ॥
ayk krisanN sarab dayvaa dayv dayvaa ta aatmaa.
Mungu huyo mmoja ndiye roho kuu ya miungu wote.
ਆਤਮਾ ਬਾਸੁਦੇਵਸ੍ਯ੍ਯਿ ਜੇ ਕੋ ਜਾਣੈ ਭੇਉ ॥ ਨਾਨਕੁ ਤਾ ਕਾ ਦਾਸੁ ਹੈ ਸੋਈ ਨਿਰੰਜਨ ਦੇਉ ॥੪॥
aatmaa baasdayvsi-y jay ko jaanai bhay-o. naanak taa kaa daas hai so-ee niranjan day-o. ||4||
Yule anayeelewa fumbo hilo, kwamba roho yenyewe ni Mungu, yeye ni udhihirisho wa kimwili wa Mungu safi na Nanak ni mtumishi wake.
ਮਃ ੧ ॥
mehlaa 1.
Salok, Guru wa Kwanza:
ਕੁੰਭੇ ਬਧਾ ਜਲੁ ਰਹੈ ਜਲ ਬਿਨੁ ਕੁੰਭੁ ਨ ਹੋਇ ॥
kumbhay baDhaa jal rahai jal bin kumbh na ho-ay.
Kama vile maji yanabaki yamedhibitiwa kwenye mtungi, lakini pasipo maji, mtungi haungeundwa.
ਗਿਆਨ ਕਾ ਬਧਾ ਮਨੁ ਰਹੈ ਗੁਰ ਬਿਨੁ ਗਿਆਨੁ ਨ ਹੋਇ ॥੫॥
gi-aan kaa baDhaa man rahai gur bin gi-aan na ho-ay. ||5||
Vivyo hivyo, akili inazuiliwa kutokana na maovu kwa maarifa matakatifu, lakini maarifa matakatifu hayawezi kupatikana bila mafundisho ya Guru.
ਪਉੜੀ ॥
pa-orhee.
Pauree:
ਪੜਿਆ ਹੋਵੈ ਗੁਨਹਗਾਰੁ ਤਾ ਓਮੀ ਸਾਧੁ ਨ ਮਾਰੀਐ ॥
parhi-aa hovai gunahgaar taa omee saaDh na maaree-ai.
Iwapo mtu aliyeelimika ni mtenda dhambi, yeye ataadhibiwa, lakini mtu mwema, ijapokuwa hajaelimika, hawezi kuadhibiwa.
ਜੇਹਾ ਘਾਲੇ ਘਾਲਣਾ ਤੇਵੇਹੋ ਨਾਉ ਪਚਾਰੀਐ ॥
jayhaa ghaalay ghaalnaa tayvayho naa-o pachaaree-ai.
Kama vilivyo vitendo vilivyotendwa, ndivyo ilivyo sifa mtu anayopata.
ਐਸੀ ਕਲਾ ਨ ਖੇਡੀਐ ਜਿਤੁ ਦਰਗਹ ਗਇਆ ਹਾਰੀਐ ॥
aisee kalaa na khaydee-ai jit dargeh ga-i-aa haaree-ai.
Hivyo basi, usicheze mchezo kama huo, ambao utakufanya upoteze mchezo wa uzao wa kibinadamu katika mahakama ya Mungu.
ਪੜਿਆ ਅਤੈ ਓਮੀਆ ਵੀਚਾਰੁ ਅਗੈ ਵੀਚਾਰੀਐ ॥
parhi-aa atai omee-aa veechaar agai veechaaree-ai.
Matendo ya walioelimika na ambao hawajaelimika yatahukumiwa katika mahakama ya Mungu.
ਮੁਹਿ ਚਲੈ ਸੁ ਅਗੈ ਮਾਰੀਐ ॥੧੨॥
muhi chalai so agai maaree-ai. ||12||
Mtu ambaye badala ya kufuata mafundisho ya Guru, kwa kiburi anafuata akili yake mwenyewe anaadhibiwa katika mahakama ya Mungu.