Guru Granth Sahib Translation Project

Guru Granth Sahib Swahili Page 278

Page 278

ਨਾਨਾ ਰੂਪ ਜਿਉ ਸ੍ਵਾਗੀ ਦਿਖਾਵੈ ॥ naanaa roop ji-o savaagee dikhaavai. Kama mwigizaji, anaonekana akivaa maficho tofauti.
ਜਿਉ ਪ੍ਰਭ ਭਾਵੈ ਤਿਵੈ ਨਚਾਵੈ ॥ bji-o parabh bhaavai tivai nachaavai. Inavyompendeza Mungu, Yeye anafanya binadamu acheze anavyotaka.
ਜੋ ਤਿਸੁ ਭਾਵੈ ਸੋਈ ਹੋਇ ॥ jo tis bhaavai so-ee ho-ay. Chochote kinachompendeza Yeye, kinatendeka.
ਨਾਨਕ ਦੂਜਾ ਅਵਰੁ ਨ ਕੋਇ ॥੭॥ naanak doojaa avar na ko-ay. ||7|| Ee Nanak, hakuna mwingine kama Yeye.
ਕਬਹੂ ਸਾਧਸੰਗਤਿ ਇਹੁ ਪਾਵੈ ॥ kabhoo saaDhsangat ih paavai. Wakati mtu huyu anafikia Uandamano wa Watakatifu.
ਉਸੁ ਅਸਥਾਨ ਤੇ ਬਹੁਰਿ ਨ ਆਵੈ ॥ us asthaan tay bahur na aavai. basi yeye hatoki kwenye hali ile ya furaha ya akili,
ਅੰਤਰਿ ਹੋਇ ਗਿਆਨ ਪਰਗਾਸੁ ॥ antar ho-ay gi-aan pargaas. Kwa sababu, katika huo uandamano akili yakehuangazwa na maarifa takatifu,
ਉਸੁ ਅਸਥਾਨ ਕਾ ਨਹੀ ਬਿਨਾਸੁ ॥ us asthaan kaa nahee binaas. Na hali hiyo ya akili ilyoangazwa kamwe haikwishi.
ਮਨ ਤਨ ਨਾਮਿ ਰਤੇ ਇਕ ਰੰਗਿ ॥ man tan naam ratay ik rang. (Katika hali hiyo) mwili na akili ya mtu inajawa na upendo kwa Mungu,
ਸਦਾ ਬਸਹਿ ਪਾਰਬ੍ਰਹਮ ਕੈ ਸੰਗਿ ॥ sadaa baseh paarbarahm kai sang. Na milele anaishi na Mungu Mkuu.
ਜਿਉ ਜਲ ਮਹਿ ਜਲੁ ਆਇ ਖਟਾਨਾ ॥ ji-o jal meh jal aa-ay khataanaa. Kama vile maji yanavyochanganyikana na maji,
ਤਿਉ ਜੋਤੀ ਸੰਗਿ ਜੋਤਿ ਸਮਾਨਾ ॥ ti-o jotee sang jot samaanaa. Vivyo hivyo roho yake iliyoangazwa inaungana na roho Kuu.
ਮਿਟਿ ਗਏ ਗਵਨ ਪਾਏ ਬਿਸ੍ਰਾਮ ॥ mit ga-ay gavan paa-ay bisraam. Mzunguko wake wa kuzaliwa na kufa unatamatika, na anafikia amani ya milele.
ਨਾਨਕ ਪ੍ਰਭ ਕੈ ਸਦ ਕੁਰਬਾਨ ॥੮॥੧੧॥ naanak parabh kai sad kurbaan. ||8||11|| Ee Nanak, tunafaa kujiweka wakfu kwa Mungu milele.
ਸਲੋਕੁ ॥ salok. Shalok:
ਸੁਖੀ ਬਸੈ ਮਸਕੀਨੀਆ ਆਪੁ ਨਿਵਾਰਿ ਤਲੇ ॥ sukhee basai maskeenee-aa aap nivaar talay. Kwa kuondoa majivuno binafsi, mtu mnyenyekevu huishi kwa amani.
ਬਡੇ ਬਡੇ ਅਹੰਕਾਰੀਆ ਨਾਨਕ ਗਰਬਿ ਗਲੇ ॥੧॥ baday baday ahaNkaaree-aa nanak garab galay. ||1|| Ee Nanak, watu wenye nguvu ambao wana kiburi wanaangamizwa na kiburi chao wenyewe.
ਅਸਟਪਦੀ ॥ asatpadee. Ashtapadee:
ਜਿਸ ਕੈ ਅੰਤਰਿ ਰਾਜ ਅਭਿਮਾਨੁ ॥ jis kai antar raaj abhimaan. Yule anayekuwa mwenye fahari ya ubinafsi wa mali na nguvu akilini,
ਸੋ ਨਰਕਪਾਤੀ ਹੋਵਤ ਸੁਆਨੁ ॥ so narakpaatee hovat su-aan. Anastahili adhabu kama mbwa katika jehanamu.
ਜੋ ਜਾਨੈ ਮੈ ਜੋਬਨਵੰਤੁ ॥ jo jaanai mai jobanvant. Yule ambaye kwa ubinafsi anajifikiria kuwa kijana na mtanashati,
ਸੋ ਹੋਵਤ ਬਿਸਟਾ ਕਾ ਜੰਤੁ ॥ so hovat bistaa kaa jant. yeye ni kama minyoo kwenye uchafu
ਆਪਸ ਕਉ ਕਰਮਵੰਤੁ ਕਹਾਵੈ ॥ aapas ka-o karamvant kahaavai. Yule anayejiita mtendaji wa vitendo vya kumcha Mungu katika ubinafsi.
ਜਨਮਿ ਮਰੈ ਬਹੁ ਜੋਨਿ ਭ੍ਰਮਾਵੈ ॥ janam marai baho jon bharmaavai. Anaendelea kuteseka katika mizunguko ya kuzaliwa na kufa.
ਧਨ ਭੂਮਿ ਕਾ ਜੋ ਕਰੈ ਗੁਮਾਨੁ ॥ Dhan bhoom kaa jo karai gumaan. Yule anayehisi fahari ya ubinafsi kwa utajiri na ardhi yake
ਸੋ ਮੂਰਖੁ ਅੰਧਾ ਅਗਿਆਨੁ ॥ so moorakh anDhaa agi-aan. Ni mpumbavu, kipofu na mjinga.
ਕਰਿ ਕਿਰਪਾ ਜਿਸ ਕੈ ਹਿਰਦੈ ਗਰੀਬੀ ਬਸਾਵੈ ॥ kar kirpaa jis kai hirdai gareebee basaavai. Yule ambaye, moyoni mwake Mungu kwa huruma anaweka unyenyekevu,
ਨਾਨਕ ਈਹਾ ਮੁਕਤੁ ਆਗੈ ਸੁਖੁ ਪਾਵੈ ॥੧॥ naanak eehaa mukat aagai sukh paavai. ||1|| Ee Nanak, yeye anakombolewa humu kutoka kwa dhambi, na anapata amani baadaye.
ਧਨਵੰਤਾ ਹੋਇ ਕਰਿ ਗਰਬਾਵੈ ॥ Dhanvantaa ho-ay kar garbaavai. Punde tu anapokuwa tajiri, mtu anahisi fahari ya ubinafsi kwa utajiri wake,
ਤ੍ਰਿਣ ਸਮਾਨਿ ਕਛੁ ਸੰਗਿ ਨ ਜਾਵੈ ॥ tarin samaan kachh sang na jaavai. Anapaswa kugundua kwamba hakuna kitu kitakachoambatana naye mwishowe, sio hata unyasi.
ਬਹੁ ਲਸਕਰ ਮਾਨੁਖ ਊਪਰਿ ਕਰੇ ਆਸ ॥ baho laskar maanukh oopar karay aas. Anaweza kuweka matumaini yake kwa jeshi kubwa au binadamu,
ਪਲ ਭੀਤਰਿ ਤਾ ਕਾ ਹੋਇ ਬਿਨਾਸ ॥ pal bheetar taa kaa ho-ay binaas. (anapaswa kujua kwamba) vitu hivi vyote vinaangamizwa kufumba na kufumbua
ਸਭ ਤੇ ਆਪ ਜਾਨੈ ਬਲਵੰਤੁ ॥ sabh tay aap jaanai balvant. Yule ambaye anajifikiria kuwa mwenye nguvu zaidi ya wote,
ਖਿਨ ਮਹਿ ਹੋਇ ਜਾਇ ਭਸਮੰਤੁ ॥ khin meh ho-ay jaa-ay bhasmant. kufumba na kufumbua mtu huyo anaweza kuangamizwa awe majivu.
ਕਿਸੈ ਨ ਬਦੈ ਆਪਿ ਅਹੰਕਾਰੀ ॥ kisai na badai aap ahaNkaaree. Yule ambaye ni mwenye majivuno sana wala hamjali mtu yeyote mwingine,
ਧਰਮ ਰਾਇ ਤਿਸੁ ਕਰੇ ਖੁਆਰੀ ॥ Dharam raa-ay tis karay khu-aaree. Anaaibishwa vibaya na Hakimu wa Haki.
ਗੁਰ ਪ੍ਰਸਾਦਿ ਜਾ ਕਾ ਮਿਟੈ ਅਭਿਮਾਨੁ ॥ gur parsaad jaa kaa mitai abhimaan. Yule ambaye ubinafsi wake unaondolewa kwa neema ya Guru,
ਸੋ ਜਨੁ ਨਾਨਕ ਦਰਗਹ ਪਰਵਾਨੁ ॥੨॥ so jan naanak dargeh parvaan. ||2|| Ee Nanak, mtu huyo anaidhinishwa katika makao ya Mungu.
ਕੋਟਿ ਕਰਮ ਕਰੈ ਹਉ ਧਾਰੇ ॥ kot karam karai ha-o Dhaaray. Iwapo mtu atatenda mamilioni ya vitendo vizuri na pia ahisi fahari ya ubinafsi kwa hivyo vitendo,
ਸ੍ਰਮੁ ਪਾਵੈ ਸਗਲੇ ਬਿਰਥਾਰੇ ॥ saram paavai saglay birthaaray. Mtu huyo anafanya kazi ngumu tu, na vitendo hivyo vyote ni bure.
ਅਨਿਕ ਤਪਸਿਆ ਕਰੇ ਅਹੰਕਾਰ ॥ anik tapasi-aa karay ahaNkaar. Yule, anayefanya maelfu ya toba na anajihusisha katika ubinafsi,
ਨਰਕ ਸੁਰਗ ਫਿਰਿ ਫਿਰਿ ਅਵਤਾਰ ॥ narak surag fir fir avtaar. huzidi kuvumilia uchungu na raha, kana kwamba anapitia mbinguni na jehanamu tena na tena
ਅਨਿਕ ਜਤਨ ਕਰਿ ਆਤਮ ਨਹੀ ਦ੍ਰਵੈ ॥ anik jatan kar aatam nahee darvai. Iwapo licha ya kufanya jitihada nyingi, mtu hawi mwororo na mkarimu,
ਹਰਿ ਦਰਗਹ ਕਹੁ ਕੈਸੇ ਗਵੈ ॥ har dargeh kaho kaisay gavai. Basi atawezaje kufikia mahakama ya Mungu?
ਆਪਸ ਕਉ ਜੋ ਭਲਾ ਕਹਾਵੈ ॥ aapas ka-o jo bhalaa kahaavai. Yule anayejidai kuwa mfadhili,
ਤਿਸਹਿ ਭਲਾਈ ਨਿਕਟਿ ਨ ਆਵੈ ॥ tiseh bhalaa-ee nikat na aavai. Fadhila hata haimgusi mtu huyo.
ਸਰਬ ਕੀ ਰੇਨ ਜਾ ਕਾ ਮਨੁ ਹੋਇ ॥ sarab kee rayn jaa kaa man ho-ay. Yule ambaye akili yake inakuwa nyenyekevu kwa wote,
ਕਹੁ ਨਾਨਕ ਤਾ ਕੀ ਨਿਰਮਲ ਸੋਇ ॥੩॥ kaho naanak taa kee nirmal so-ay. ||3|| Ee Nanak, sifa yake ni safi bila doa.
ਜਬ ਲਗੁ ਜਾਨੈ ਮੁਝ ਤੇ ਕਛੁ ਹੋਇ ॥ jab lag jaanai mujh tay kachh ho-ay. Ila, pindi mtu anapofikiria kwamba anaweza kufanya chochote kitendeke kwa nguvu yake mwenyewe.
ਤਬ ਇਸ ਕਉ ਸੁਖੁ ਨਾਹੀ ਕੋਇ ॥ tab is ka-o sukh naahee ko-ay. Hadi wakati huo mtu huyo haweza kupata amani.
ਜਬ ਇਹ ਜਾਨੈ ਮੈ ਕਿਛੁ ਕਰਤਾ ॥ jab ih jaanai mai kichh kartaa. Ila, pindi binadamu huyu anapodhani kwamba yeye ndiye mtendaji wa kazi yoyote,
ਤਬ ਲਗੁ ਗਰਭ ਜੋਨਿ ਮਹਿ ਫਿਰਤਾ ॥ tab lag garabh jon meh firtaa. Hadi wakati huo, anazurura katika mizunguko ya kuzaliwa na kufa.
ਜਬ ਧਾਰੈ ਕੋਊ ਬੈਰੀ ਮੀਤੁ ॥ jab Dhaarai ko-oo bairee meet. Ila, pindi anapomfikiria mmoja kuwa adui, na mwingine kuwa rafiki,
ਤਬ ਲਗੁ ਨਿਹਚਲੁ ਨਾਹੀ ਚੀਤੁ ॥ tab lag nihchal naahee cheet. Hadi wakati huo akili ya mtu huyo haitakuwa thabiti na yenye amani.
ਜਬ ਲਗੁ ਮੋਹ ਮਗਨ ਸੰਗਿ ਮਾਇ ॥ jab lag moh magan sang maa-ay. Ila, pindi yeye anapozama katika Maya (utajiri wa kidunia),
ਤਬ ਲਗੁ ਧਰਮ ਰਾਇ ਦੇਇ ਸਜਾਇ ॥ tab lag Dharam raa-ay day-ay sajaa-ay. Hakimu wa Haki anaendelea kutoa adhabu.
ਪ੍ਰਭ ਕਿਰਪਾ ਤੇ ਬੰਧਨ ਤੂਟੈ ॥ parabh kirpaa tay banDhan tootai. Vifungo vya Maya (viambatisho vya kidunia) vinavunjwa kwa Neema ya Mungu,
ਗੁਰ ਪ੍ਰਸਾਦਿ ਨਾਨਕ ਹਉ ਛੂਟੈ ॥੪॥ gur parsaad naanak ha-o chhootai. ||4|| Ee Nanak, ubinafsi wa mtu unaondolewa kwa neema ya Guru.
ਸਹਸ ਖਟੇ ਲਖ ਕਉ ਉਠਿ ਧਾਵੈ ॥ sahas khatay lakh ka-o uth Dhaavai. Baada ya kuchuma elfu moja, yeye anakimbilia milioni moja.


© 2025 SGGS ONLINE
error: Content is protected !!
Scroll to Top