Page 276
ਕਈ ਕੋਟਿ ਦੇਵ ਦਾਨਵ ਇੰਦ੍ਰ ਸਿਰਿ ਛਤ੍ਰ ॥
ka-ee kot dayv daanav indar sir chhatar.
Mamilioni ni malaika, mapepo na Indras, chini ya miavuli yao ya kifahari.
ਸਗਲ ਸਮਗ੍ਰੀ ਅਪਨੈ ਸੂਤਿ ਧਾਰੈ ॥
sagal samagree apnai soot Dhaarai.
Yeye ametiisha uumbaji mzima kwa amri yake kama shanga zilizowekwa kwenye uzi.
ਨਾਨਕ ਜਿਸੁ ਜਿਸੁ ਭਾਵੈ ਤਿਸੁ ਤਿਸੁ ਨਿਸਤਾਰੈ ॥੩॥
naanak jis jis bhaavai tis tis nistaarai. ||3||
Ee Nanak, wale ambao amependezwa nao, Yeye huwavukisha bahari-dunia ya dhambi
ਕਈ ਕੋਟਿ ਰਾਜਸ ਤਾਮਸ ਸਾਤਕ ॥
ka-ee kot raajas taamas saatak.
Mamilioni ya watu wanaishi katika mamlaka, dhambi na fadhila. (mbinu tatu za Maya)
ਕਈ ਕੋਟਿ ਬੇਦ ਪੁਰਾਨ ਸਿਮ੍ਰਿਤਿ ਅਰੁ ਸਾਸਤ ॥
ka-ee kot bayd puraan simrit ar saasat.
Mamilioni ya watu wanajielimisha Vedas, Puranas, Smritis na Shastras (vitabu vitakatifu).
ਕਈ ਕੋਟਿ ਕੀਏ ਰਤਨ ਸਮੁਦ ॥
ka-ee kot kee-ay ratan samud.
Mungu ameumba mamilioni ya vito baharini.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਨਾਨਾ ਪ੍ਰਕਾਰ ਜੰਤ ॥
ka-ee kot naanaa parkaar jant.
Yeye ameumba mamilioni ya aina tofauti za viumbe.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਕੀਏ ਚਿਰ ਜੀਵੇ ॥
ka-ee kot kee-ay chir jeevay.
Mamilioni wanaumbwa wanaoishi maisha marefu.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਗਿਰੀ ਮੇਰ ਸੁਵਰਨ ਥੀਵੇ ॥
ka-ee kot giree mayr suvran theevay.
Yeye ameumba mamilioni ya milima ya dhahabu
ਕਈ ਕੋਟਿ ਜਖ੍ਯ੍ਯ ਕਿੰਨਰ ਪਿਸਾਚ ॥
ka-ee kot jakh-y kinnar pisaach.
Mamilioni ya watu ni Yakshas (watumishi wa mungu wa utajiri), Kinnars (wachezaji), na Pisaach (watu wa hadhi ya chini ya kijamii).
ਕਈ ਕੋਟਿ ਭੂਤ ਪ੍ਰੇਤ ਸੂਕਰ ਮ੍ਰਿਗਾਚ ॥
ka-ee kot bhoot parayt sookar marigaach.
Mamilioni ni misimu yenye silika mbaya, mizuka, nguruwe na chui-milia.
ਸਭ ਤੇ ਨੇਰੈ ਸਭਹੂ ਤੇ ਦੂਰਿ ॥
sabh tay nayrai sabhhoo tay door.
Yeye yu karibu na wote, ilhali yu mbali na wote.
ਨਾਨਕ ਆਪਿ ਅਲਿਪਤੁ ਰਹਿਆ ਭਰਪੂਰਿ ॥੪॥
naanak aap alipat rahi-aa bharpoor. ||4||
Ee Nanak, Yeye amejitenga na pia anaenea katika uumbaji wake.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਪਾਤਾਲ ਕੇ ਵਾਸੀ ॥
ka-ee kot paataal kay vaasee.
Mamilioni wanaishi katika maeneo ya chini ya dunia.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਨਰਕ ਸੁਰਗ ਨਿਵਾਸੀ ॥
ka-ee kot narak surag nivaasee.
Mamilioni wanaishi katika uchungu na huzuni uliokithiri kama kuwa jehanamu na mamilioni wanaishi maisha ya starehe kama kuwa mbinguni.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਜਨਮਹਿ ਜੀਵਹਿ ਮਰਹਿ ॥
ka-ee kot janmeh jeeveh mareh.
Mamilioni wanazaliwa, wanaishi maisha yao na kufa.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਬਹੁ ਜੋਨੀ ਫਿਰਹਿ ॥
ka-ee kot baho jonee fireh.
Mamilioni wanaendelea kuzurura katika mizunguko ya kuzaliwa na kufa.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਬੈਠਤ ਹੀ ਖਾਹਿ ॥
ka-ee kot baithat hee khaahi.
Mamilioni wanapata riziki yao kwa urahisi.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਘਾਲਹਿ ਥਕਿ ਪਾਹਿ ॥
ka-ee kot ghaaleh thak paahi.
Mamilioni wanajichosha wakijaribu kupata riziki yao.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਕੀਏ ਧਨਵੰਤ ॥
ka-ee kot kee-ay Dhanvant.
Ingawa Mungu amefanya mamilioni wawe matajiri.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਮਾਇਆ ਮਹਿ ਚਿੰਤ ॥
ka-ee kot maa-i-aa meh chint.
Mamilioni wengine wanakaa katika wasiwasi wa kifedha.
ਜਹ ਜਹ ਭਾਣਾ ਤਹ ਤਹ ਰਾਖੇ ॥
jah jah bhaanaa tah tah raakhay.
Popote anapotaka, huwaweka binadamu.
ਨਾਨਕ ਸਭੁ ਕਿਛੁ ਪ੍ਰਭ ਕੈ ਹਾਥੇ ॥੫॥
naanak sabh kichh parabh kai haathay. ||5||
Ee Nanak, kila kitu kipo chini ya amri ya Mungu.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਭਏ ਬੈਰਾਗੀ ॥
ka-ee kot bha-ay bairaagee.
Mamilioni wanajitenga na shughuli za kidunia,
ਰਾਮ ਨਾਮ ਸੰਗਿ ਤਿਨਿ ਲਿਵ ਲਾਗੀ ॥
raam naam sang tin liv laagee.
na wanabaki wamemakinikia Jina la Mungu.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਪ੍ਰਭ ਕਉ ਖੋਜੰਤੇ ॥
ka-ee kot parabh ka-o khojantay.
Mamilioni wanamtafuta Mungu,
ਆਤਮ ਮਹਿ ਪਾਰਬ੍ਰਹਮੁ ਲਹੰਤੇ ॥
aatam meh paarbarahm lahantay.
Na kugundua uwepo wa Mungu ndani yao.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਦਰਸਨ ਪ੍ਰਭ ਪਿਆਸ ॥
ka-ee kot darsan parabh pi-aas.
Mamilioni wanatamani mwono wa Mungu,
ਤਿਨ ਕਉ ਮਿਲਿਓ ਪ੍ਰਭੁ ਅਬਿਨਾਸ ॥
tin ka-o mili-o parabh abinaas.
Na wanamgundua Mungu wa milele.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਮਾਗਹਿ ਸਤਸੰਗੁ ॥
ka-ee kot maageh satsang.
Mamilioni wanaombea ushirika mtakatifu,
ਪਾਰਬ੍ਰਹਮ ਤਿਨ ਲਾਗਾ ਰੰਗੁ ॥
paarbarahm tin laagaa rang.
Wamejawa na upendo wa Mungu Mkuu.
ਜਿਨ ਕਉ ਹੋਏ ਆਪਿ ਸੁਪ੍ਰਸੰਨ ॥
jin ka-o ho-ay aap suparsan.
Wao ambao Yeye Mwenyewe amependezwa nao mno,
ਨਾਨਕ ਤੇ ਜਨ ਸਦਾ ਧਨਿ ਧੰਨਿ ॥੬॥
naanak tay jan sadaa Dhan Dhan. ||6||
Ee Nanak, wamebarikiwa na kubarikiwa milele.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਖਾਣੀ ਅਰੁ ਖੰਡ ॥
ka-ee kot khaanee ar khand.
Mamilioni ya viumbe wameumbwa kupitia vyanzo vinne vya uumbaji, katika maeneo tisa ya dunia.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਅਕਾਸ ਬ੍ਰਹਮੰਡ ॥
ka-ee kot akaas barahmand.
Kuna mamilioni ya viumbe angani na kwenye mifumo ya jua
ਕਈ ਕੋਟਿ ਹੋਏ ਅਵਤਾਰ ॥
ka-ee kot ho-ay avtaar.
Mamilioni ya viumbe wanazaliwa.
ਕਈ ਜੁਗਤਿ ਕੀਨੋ ਬਿਸਥਾਰ ॥
ka-ee jugat keeno bisthaar.
Kwa njia nyingi sana, Mungu ameumba ulimwengu.
ਕਈ ਬਾਰ ਪਸਰਿਓ ਪਾਸਾਰ ॥
ka-ee baar pasri-o paasaar.
Mara nyingi sana, Yeye ameupanua upanuzi wake (Uumbaji).
ਸਦਾ ਸਦਾ ਇਕੁ ਏਕੰਕਾਰ ॥
sadaa sadaa ik aikankaar.
Ila daima na milele Muumba amekuwa yule yule.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਕੀਨੇ ਬਹੁ ਭਾਤਿ ॥
ka-ee kot keenay baho bhaat.
Mungu ameumba mamilioni ya viumbe katika miundo tafauti.
ਪ੍ਰਭ ਤੇ ਹੋਏ ਪ੍ਰਭ ਮਾਹਿ ਸਮਾਤਿ ॥
parabh tay ho-ay parabh maahi samaat.
Wanatokana na Mungu, na ndani mwake wanaunganishwa tena.
ਤਾ ਕਾ ਅੰਤੁ ਨ ਜਾਨੈ ਕੋਇ ॥
taa kaa ant na jaanai ko-ay.
Vikomo vya uumbaji wake havijulikani na yeyote.
ਆਪੇ ਆਪਿ ਨਾਨਕ ਪ੍ਰਭੁ ਸੋਇ ॥੭॥
aapay aap naanak parabh so-ay. ||7||
Ee Nanak, Mungu pekee ndiye aliye kama yeye Mwenyewe.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਪਾਰਬ੍ਰਹਮ ਕੇ ਦਾਸ ॥
ka-ee kot paarbarahm kay daas.
Mamilioni ni watawa wa Mungu Mkuu.
ਤਿਨ ਹੋਵਤ ਆਤਮ ਪਰਗਾਸ ॥
tin hovat aatam pargaas.
ambao ndani yao unadhihirika mwanga mtakatifu
ਕਈ ਕੋਟਿ ਤਤ ਕੇ ਬੇਤੇ ॥
ka-ee kot tat kay baytay.
Mamilioni wanajua kiini cha uhalisia (Mungu),
ਸਦਾ ਨਿਹਾਰਹਿ ਏਕੋ ਨੇਤ੍ਰੇ ॥
sadaa nihaarahi ayko naytaray.
Na kwa macho yao (mwono wa kiroho), daima wanamtazama Mungu Mmoja.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਨਾਮ ਰਸੁ ਪੀਵਹਿ ॥
ka-ee kot naam ras peeveh.
Mamilioni wanashiriki nekta ya Naam.
ਅਮਰ ਭਏ ਸਦ ਸਦ ਹੀ ਜੀਵਹਿ ॥
amar bha-ay sad sad hee jeeveh.
Wakiwa huru kutoka kwa kuzaliwa na kufa, wanakuwa wasioweza kufa.
ਕਈ ਕੋਟਿ ਨਾਮ ਗੁਨ ਗਾਵਹਿ ॥
ka-ee kot naam gun gaavahi.
Kuna mamilioni wanaoimba fadhila za Mungu.
ਆਤਮ ਰਸਿ ਸੁਖਿ ਸਹਜਿ ਸਮਾਵਹਿ ॥
aatam ras sukh sahj samaaveh.
Kisilika wanabaki wamezama katika amani na raha tele ya kiroho.
ਅਪੁਨੇ ਜਨ ਕਉ ਸਾਸਿ ਸਾਸਿ ਸਮਾਰੇ ॥
apunay jan ka-o saas saas samaaray.
Mungu huwachunga watawa wake kwa kila pumzi wanayopumua.
ਨਾਨਕ ਓਇ ਪਰਮੇਸੁਰ ਕੇ ਪਿਆਰੇ ॥੮॥੧੦॥
naanak o-ay parmaysur kay pi-aaray. ||8||10||
Ee Nanak, hao ni wapendwa wa Mungu.
ਸਲੋਕੁ ॥
salok.
Shalok:
ਕਰਣ ਕਾਰਣ ਪ੍ਰਭੁ ਏਕੁ ਹੈ ਦੂਸਰ ਨਾਹੀ ਕੋਇ ॥
karan kaaran parabh ayk hai doosar naahee ko-ay.
Mungu pekee ndiye muumba wa ulimwengu mzima wala hakuna mwengine.
ਨਾਨਕ ਤਿਸੁ ਬਲਿਹਾਰਣੈ ਜਲਿ ਥਲਿ ਮਹੀਅਲਿ ਸੋਇ ॥੧॥
naanak tis balihaarnai jal thal mahee-al so-ay. ||1||
Ee Nanak, najiweka wakfu kwa yule Mmoja, anayeenea majini, ardhini na angani.
ਅਸਟਪਦੀ ॥
asatpadee.
Ashtapadee:
ਕਰਨ ਕਰਾਵਨ ਕਰਨੈ ਜੋਗੁ ॥
karan karaavan karnai jog.
Mungu ana nguvu ya kutenda na kufanya kila kitu kitendeke.
ਜੋ ਤਿਸੁ ਭਾਵੈ ਸੋਈ ਹੋਗੁ ॥
jo tis bhaavai so-ee hog.
Chochote kinachompendeza yeye, hicho tu ndicho hutendeka.
ਖਿਨ ਮਹਿ ਥਾਪਿ ਉਥਾਪਨਹਾਰਾ ॥
khin meh thaap uthaapanhaaraa.
Kufumba na kufumbua, Yeye huumba na kuangamiza uumbaji wake.