Page 265
ਹਰਿ ਕਾ ਨਾਮੁ ਜਨ ਕਉ ਭੋਗ ਜੋਗ ॥
har kaa naam jan ka-o bhog jog.
Furaha y Maya na yoga kwa watawa wake kupo katika Jina la Mungu.
ਹਰਿ ਨਾਮੁ ਜਪਤ ਕਛੁ ਨਾਹਿ ਬਿਓਗੁ ॥
har naam japat kachh naahi bi-og.
Kwa kutafakari kuhusu Jina la Mungu, mtawa kamwe hahisi uchungu au utengano wowote.
ਜਨੁ ਰਾਤਾ ਹਰਿ ਨਾਮ ਕੀ ਸੇਵਾ ॥
jan raataa har naam kee sayvaa.
Mtawa wake daima hubaki amezama katika ukumbusho wake,
ਨਾਨਕ ਪੂਜੈ ਹਰਿ ਹਰਿ ਦੇਵਾ ॥੬॥
naanak poojai har har dayvaa. ||6||
Ee Nanak, mtawa daima anamwabudu Mungu aliye kila mahali.
ਹਰਿ ਹਰਿ ਜਨ ਕੈ ਮਾਲੁ ਖਜੀਨਾ ॥
har har jan kai maal khajeenaa.
Kwa mtawa, Jina la Mungu ni hazina ya utajiri.
ਹਰਿ ਧਨੁ ਜਨ ਕਉ ਆਪਿ ਪ੍ਰਭਿ ਦੀਨਾ ॥
har Dhan jan ka-o aap parabh deenaa.
Mungu Mwenyewe amebariki mtawa wake na hazina hii ya Naam.
ਹਰਿ ਹਰਿ ਜਨ ਕੈ ਓਟ ਸਤਾਣੀ ॥
har har jan kai ot sataanee.
Jina la Mungu ni msaada wenye nguvu kwa watawa wake.
ਹਰਿ ਪ੍ਰਤਾਪਿ ਜਨ ਅਵਰ ਨ ਜਾਣੀ ॥
har partaap jan avar na jaanee.
Kwa utukufu wa Mungu, watawa hawatafuti nguzo yoyote nyingine.
ਓਤਿ ਪੋਤਿ ਜਨ ਹਰਿ ਰਸਿ ਰਾਤੇ ॥
ot pot jan har ras raatay.
Kila wakati, watawa wake wanabaki wamejawa na Upendo wa Mungu.
ਸੁੰਨ ਸਮਾਧਿ ਨਾਮ ਰਸ ਮਾਤੇ ॥
sunn samaaDh naam ras maatay.
Wakiwa wamezama kikamilifu katika upendo wa Mungu, wao hufurahia utulivu kamili katika kutafakari.
ਆਠ ਪਹਰ ਜਨੁ ਹਰਿ ਹਰਿ ਜਪੈ ॥
aath pahar jan har har japai.
Wakati wote watawa hukariri Jina la Mungu.
ਹਰਿ ਕਾ ਭਗਤੁ ਪ੍ਰਗਟ ਨਹੀ ਛਪੈ ॥
har kaa bhagat pargat nahee chhapai.
Mtawa wa Mungu huwa maarufu na kuheshimika; habaki amefichwa.
ਹਰਿ ਕੀ ਭਗਤਿ ਮੁਕਤਿ ਬਹੁ ਕਰੇ ॥
har kee bhagat mukat baho karay.
Ibada ya kujitolea kwa Mungu, inakomboa wengi kutoka kwa maovu.
ਨਾਨਕ ਜਨ ਸੰਗਿ ਕੇਤੇ ਤਰੇ ॥੭॥
naanak jan sang kaytay taray. ||7||
Ee Nanak, wengi wengine wanaobaki katika uandamano wa watawa wake, wanaogelea wakivuka bahari-dunia ya dhambi.
ਪਾਰਜਾਤੁ ਇਹੁ ਹਰਿ ਕੋ ਨਾਮ ॥
paarjaat ih har ko naam.
Jina la Mungu ni kama ‘Paarijat’ (Mti wa kihadithi wa Elisia wenye nguvu za kimiujiza).
ਕਾਮਧੇਨ ਹਰਿ ਹਰਿ ਗੁਣ ਗਾਮ ॥
kaamDhayn har har gun gaam.
Kuimba sifa za Mungu ni kama kaamdhen (ng’ombe wa kihadithi) ambaye anaweza kuruzuku matakwa yote.
ਸਭ ਤੇ ਊਤਮ ਹਰਿ ਕੀ ਕਥਾ ॥
sabh tay ootam har kee kathaa.
Hotuba kuhusu fadhila za Mungu ni yenye umuhimu mkuu kuliko matamshi yote mengine.
ਨਾਮੁ ਸੁਨਤ ਦਰਦ ਦੁਖ ਲਥਾ ॥
naam sunat darad dukh lathaa.
Kwa kusikiliza Naam, uchungu na huzuni zinaondolewa.
ਨਾਮ ਕੀ ਮਹਿਮਾ ਸੰਤ ਰਿਦ ਵਸੈ ॥
naam kee mahimaa sant rid vasai.
Utukufu wa Naam unaishi mioyoni mwa Watakatifu wake.
ਸੰਤ ਪ੍ਰਤਾਪਿ ਦੁਰਤੁ ਸਭੁ ਨਸੈ ॥
sant partaap durat sabh nasai.
Kwa baraka ya Watakatifu wake, dhambi zote zinaondolewa.
ਸੰਤ ਕਾ ਸੰਗੁ ਵਡਭਾਗੀ ਪਾਈਐ ॥
sant kaa sang vadbhaagee paa-ee-ai.
Uandamano wa Watakatifu hupatikana kwa bahati nzuri kuu.
ਸੰਤ ਕੀ ਸੇਵਾ ਨਾਮੁ ਧਿਆਈਐ ॥
sant kee sayvaa naam Dhi-aa-ee-ai.
Kwa kufuata mafundisho ya Mtakatifu (Guru) mtu hutafakari kuhusu Naam
ਨਾਮ ਤੁਲਿ ਕਛੁ ਅਵਰੁ ਨ ਹੋਇ ॥
naam tul kachh avar na ho-ay.
Hakuna kitu chochote kilicho sawa na Naam.
ਨਾਨਕ ਗੁਰਮੁਖਿ ਨਾਮੁ ਪਾਵੈ ਜਨੁ ਕੋਇ ॥੮॥੨॥
naanak gurmukh naam paavai jan ko-ay. ||8||2||
Ee Nanak, nadra ni wanaopokea Naam kutoka kwa Guru.
ਸਲੋਕੁ ॥
salok.
Shalok:
ਬਹੁ ਸਾਸਤ੍ਰ ਬਹੁ ਸਿਮ੍ਰਿਤੀ ਪੇਖੇ ਸਰਬ ਢਢੋਲਿ ॥
baho saastar baho simritee paykhay sarab dhadhol.
Nimeona na kutafuta Shastras na Simritees nyingi (vitabu takatifu kuhusu imani, mila na kanuni za maadili).
ਪੂਜਸਿ ਨਾਹੀ ਹਰਿ ਹਰੇ ਨਾਨਕ ਨਾਮ ਅਮੋਲ ॥੧॥
poojas naahee har haray naanak naam amol. ||1||
Ee Nanak, mafundisho ya vitabu hivi vitakatifu hayakaribii sifa ya kutafakari kuhusu Jina la Mungu lisilokadirika.
ਅਸਟਪਦੀ ॥
asatpadee.
Ashtapadee:
ਜਾਪ ਤਾਪ ਗਿਆਨ ਸਭਿ ਧਿਆਨ ॥
jaap taap gi-aan sabh Dhi-aan.
Iwapo mtu atakariri mafundisho ya mila, afanye toba, apate maarifa ya kiroho na kumakinikia aina zote za tafakari,
ਖਟ ਸਾਸਤ੍ਰ ਸਿਮ੍ਰਿਤਿ ਵਖਿਆਨ ॥
khat saastar simrit vakhi-aan.
atoe mahubiri kuhusu shastras sita na Smritis (vitabu kuhusu maarifa ya kiroho),
ਜੋਗ ਅਭਿਆਸ ਕਰਮ ਧ੍ਰਮ ਕਿਰਿਆ ॥
jog abhi-aas karam Dharam kiri-aa.
afanye Yoga na tabia adilifu;
ਸਗਲ ਤਿਆਗਿ ਬਨ ਮਧੇ ਫਿਰਿਆ ॥
sagal ti-aag ban maDhay firi-aa.
akane kila kitu na kuzurura kote nyikani;
ਅਨਿਕ ਪ੍ਰਕਾਰ ਕੀਏ ਬਹੁ ਜਤਨਾ ॥
anik parkaar kee-ay baho jatnaa.
afanye aina zote za jitihada ili kumpendeza Mungu,
ਪੁੰਨ ਦਾਨ ਹੋਮੇ ਬਹੁ ਰਤਨਾ ॥
punn daan homay baho ratnaa.
atoe kwa hisani na kutenda havan (moto takatifu) kwa kuchoma mafuta mengi;
ਸਰੀਰੁ ਕਟਾਇ ਹੋਮੈ ਕਰਿ ਰਾਤੀ ॥
sareer kataa-ay homai kar raatee.
afanye mwili wake ukatwe uwe vipande vidogo vidogo na kuvichoma katika moto wa kisherehe.
ਵਰਤ ਨੇਮ ਕਰੈ ਬਹੁ ਭਾਤੀ ॥
varat naym karai baho bhaatee.
amakinikie kufunga na aina zote za mila kwa kufuata ratiba kali.
ਨਹੀ ਤੁਲਿ ਰਾਮ ਨਾਮ ਬੀਚਾਰ ॥
nahee tul raam naam beechaar.
yote haya hayalingani na kutafakari kuhusu Jina la Mungu,
ਨਾਨਕ ਗੁਰਮੁਖਿ ਨਾਮੁ ਜਪੀਐ ਇਕ ਬਾਰ ॥੧॥
naanak gurmukh naam japee-ai ik baar. ||1||
hata iwapo, Ee Nanak, Jina la Mungu, linalopokelewa kupitia kwa Guru, litakaririwa mara moja kwa upendo na ujitoaji.
ਨਉ ਖੰਡ ਪ੍ਰਿਥਮੀ ਫਿਰੈ ਚਿਰੁ ਜੀਵੈ ॥
na-o khand parithmee firai chir jeevai.
Iwapo mtu ataizuru dunia nzima na kuishi maisha marefu,
ਮਹਾ ਉਦਾਸੁ ਤਪੀਸਰੁ ਥੀਵੈ ॥
mahaa udaas tapeesar theevai.
akiwa amejitenga kutoka kwa dunia kama anayejinyima raha,
ਅਗਨਿ ਮਾਹਿ ਹੋਮਤ ਪਰਾਨ ॥
agan maahi homat paraan.
na atoe maisha yake mwenyewe kama dhabihu kwenye Moto mTakatifu,
ਕਨਿਕ ਅਸ੍ਵ ਹੈਵਰ ਭੂਮਿ ਦਾਨ ॥
kanik asav haivar bhoom daan.
atoe dhahabu, farasi, tembo na vipande vya ardhi kwa hisani;
ਨਿਉਲੀ ਕਰਮ ਕਰੈ ਬਹੁ ਆਸਨ ॥
ni-ulee karam karai baho aasan.
afanye mazoezi ya utakaso wa kindani na aina yote ya vikao vya yoga,
ਜੈਨ ਮਾਰਗ ਸੰਜਮ ਅਤਿ ਸਾਧਨ ॥
jain maarag sanjam at saaDhan.
achukue njia ya kujinyima za wajaini na nidhamu kuu ya kiroho;
ਨਿਮਖ ਨਿਮਖ ਕਰਿ ਸਰੀਰੁ ਕਟਾਵੈ ॥
nimakh nimakh kar sareer kataavai.
afanye mwili wake ukatwe kipande baada ya kipande,
ਤਉ ਭੀ ਹਉਮੈ ਮੈਲੁ ਨ ਜਾਵੈ ॥
ta-o bhee ha-umai mail na jaavai.
Hata wakati huo, uchafu wa ubinafsi hautaondoka.
ਹਰਿ ਕੇ ਨਾਮ ਸਮਸਰਿ ਕਛੁ ਨਾਹਿ ॥
har kay naam samsar kachh naahi.
Hakuna kitu ambacho kinaweza kuwa sawa na Jina la Mungu.
ਨਾਨਕ ਗੁਰਮੁਖਿ ਨਾਮੁ ਜਪਤ ਗਤਿ ਪਾਹਿ ॥੨॥
naanak gurmukh naam japat gat paahi. ||2||
Ee Nanak, wafuasi wa Guru wanapata hali kuu ya kiroho kwa kutafakari kuhusu Jina la Mungu kwa upendo na kujitolea
ਮਨ ਕਾਮਨਾ ਤੀਰਥ ਦੇਹ ਛੁਟੈ ॥
man kaamnaa tirath dayh chhutai.
Watu wengine wangependa kufa katika mahali patakatifu;
ਗਰਬੁ ਗੁਮਾਨੁ ਨ ਮਨ ਤੇ ਹੁਟੈ ॥
garab gumaan na man tay hutai.
Lakini hata wakati huo, fahari ya ubinafsi haididimii akilini.
ਸੋਚ ਕਰੈ ਦਿਨਸੁ ਅਰੁ ਰਾਤਿ ॥
soch karai dinas ar raat.
Mtu anaweza kujitawadha kwa utakaso katika pahali patakatifu mchana na usiku,
ਮਨ ਕੀ ਮੈਲੁ ਨ ਤਨ ਤੇ ਜਾਤਿ ॥
man kee mail na tan tay jaat.
Lakini uchafu wa akili hautoki mwilini.
ਇਸੁ ਦੇਹੀ ਕਉ ਬਹੁ ਸਾਧਨਾ ਕਰੈ ॥
is dayhee ka-o baho saaDhnaa karai.
Mtu anaweza kutiisha mwili kwa aina yote ya nidhamu,
ਮਨ ਤੇ ਕਬਹੂ ਨ ਬਿਖਿਆ ਟਰੈ ॥
man tay kabhoo na bikhi-aa tarai.
Harara mbaya haziondoki akilini.
ਜਲਿ ਧੋਵੈ ਬਹੁ ਦੇਹ ਅਨੀਤਿ ॥
jal Dhovai baho dayh aneet.
Mtu anaweza kuosha mwili huu usiodumu kwa maji mengi,
ਸੁਧ ਕਹਾ ਹੋਇ ਕਾਚੀ ਭੀਤਿ ॥
suDh kahaa ho-ay kaachee bheet.
Lakini ukuta wa tope unawezaje kuoshwa uwe safi?
ਮਨ ਹਰਿ ਕੇ ਨਾਮ ਕੀ ਮਹਿਮਾ ਊਚ ॥
man har kay naam kee mahimaa ooch.
Ee, akili yangu, mkuu zaidi ni utukufu wa Jina la Mungu.
ਨਾਨਕ ਨਾਮਿ ਉਧਰੇ ਪਤਿਤ ਬਹੁ ਮੂਚ ॥੩॥
naanak naam uDhray patit baho mooch. ||3||
Ee Nanak, watenda dhambi wengi wanakombolewa kutoka kwa dhambi kwa kutafakari kwa upendo kuhusu Naam.
ਬਹੁਤੁ ਸਿਆਣਪ ਜਮ ਕਾ ਭਉ ਬਿਆਪੈ ॥
bahut si-aanap jam kaa bha-o bi-aapai.
Kwa kuwa mjanja mno, mtu anaathiriwa na hofu ya kifo,