Page 290
ਸੋ ਕਿਉ ਬਿਸਰੈ ਜਿਨਿ ਸਭੁ ਕਿਛੁ ਦੀਆ ॥
so ki-o bisrai jin sabh kichh dee-aa.
Kwa nini umsahau, ambaye ametupa kila kitu?
ਸੋ ਕਿਉ ਬਿਸਰੈ ਜਿ ਜੀਵਨ ਜੀਆ ॥
so ki-o bisrai je jeevan jee-aa.
Kwa nini umsahau, ambaye ndiye Uhai wa viumbe vinavyoishi?
ਸੋ ਕਿਉ ਬਿਸਰੈ ਜਿ ਅਗਨਿ ਮਹਿ ਰਾਖੈ ॥
so ki-o bisrai je agan meh raakhai.
Kwa nini umsahau, anayetuhifadhi katika moto wa chupa cha uzazi?
ਗੁਰ ਪ੍ਰਸਾਦਿ ਕੋ ਬਿਰਲਾ ਲਾਖੈ ॥
gur parsaad ko birlaa laakhai.
Nadra ni yule anayegundua haya kwa Neema ya Guru,
ਸੋ ਕਿਉ ਬਿਸਰੈ ਜਿ ਬਿਖੁ ਤੇ ਕਾਢੈ ॥
so ki-o bisrai je bikh tay kaadhai.
Kwa nini umsahau, anayetuokoa kutoka kwa sumu ya njozi za kidunia?
ਜਨਮ ਜਨਮ ਕਾ ਟੂਟਾ ਗਾਢੈ ॥
janam janam kaa tootaa gaadhai.
Na anaunganisha naye tena binadamu aliyetenganishwa kutoka kwake kwa kuishi kwingi kusikohesabika?
ਗੁਰਿ ਪੂਰੈ ਤਤੁ ਇਹੈ ਬੁਝਾਇਆ ॥
gur poorai tat ihai bujhaa-i-aa.
Watawa, ambao Guru kamili amefanya waelewe kiini hiki,
ਪ੍ਰਭੁ ਅਪਨਾ ਨਾਨਕ ਜਨ ਧਿਆਇਆ ॥੪॥
parabh apnaa naanak jan Dhi-aa-i-aa. ||4|||
Ee Nanak, wametafakari kuhusu Bwana wao kwa upendo na ujitoaji.
ਸਾਜਨ ਸੰਤ ਕਰਹੁ ਇਹੁ ਕਾਮੁ ॥
saajan sant karahu ih kaam.
Enyi marafiki wangu Watakatifu, jishughulisheni na kazi hii,
ਆਨ ਤਿਆਗਿ ਜਪਹੁ ਹਰਿ ਨਾਮੁ
aan ti-aag japahu har naam.
Ya kutafakari kuhusu Jina la Mungu na myakane mazoea mengine yote ya kimila.
ਸਿਮਰਿ ਸਿਮਰਿ ਸਿਮਰਿ ਸੁਖ ਪਾਵਹੁ ॥
simar simar simar sukh paavhu.
Mara kwa mara tafakari kuhusu Jina la Mungu na uifurahie ladha ya raha tele.
ਆਪਿ ਜਪਹੁ ਅਵਰਹ ਨਾਮੁ ਜਪਾਵਹੁ ॥
aap japahu avrah naam japaavhu.
Tafakari kuhusu Naam mwenyewe na uwahamasishe wengine kufanya hivyo pia.
ਭਗਤਿ ਭਾਇ ਤਰੀਐ ਸੰਸਾਰੁ ॥
bhagat bhaa-ay taree-ai sansaar.
Kupitia ibada ya kujitolea kwa upendo, mtu anavuka bahari-dunia ya dhambi.
ਬਿਨੁ ਭਗਤੀ ਤਨੁ ਹੋਸੀ ਛਾਰੁ ॥
bin bhagtee tan hosee chhaar.
Uchukulie mwili huu wa binadamu kuwa umeharibika iwapo hakuna ibada ya kujitolea kwa Mungu.
ਸਰਬ ਕਲਿਆਣ ਸੂਖ ਨਿਧਿ ਨਾਮੁ ॥
sarab kali-aan sookh niDh naam.
Naam ni hazina ya bahati yote njema na amani.
ਬੂਡਤ ਜਾਤ ਪਾਏ ਬਿਸ੍ਰਾਮੁ ॥
boodat jaat paa-ay bisraam.
Hata anayezama katika maovu, anaokolewa kwa kuitafakari Naam.
ਸਗਲ ਦੂਖ ਕਾ ਹੋਵਤ ਨਾਸੁ ॥
sagal dookh kaa hovat naas.
Huzuni zote zinapotea kwa kumkumbuka Mungu.
ਨਾਨਕ ਨਾਮੁ ਜਪਹੁ ਗੁਨਤਾਸੁ ॥੫॥
naanak naam japahu guntaas. ||5||
Hivyo basi, Ee Nanak, tafakari kuhusu Naam, hazina ya fadhila.
ਉਪਜੀ ਪ੍ਰੀਤਿ ਪ੍ਰੇਮ ਰਸੁ ਚਾਉ ॥
upjee pareet paraym ras chaa-o.
Kwa yule ambaye ndani mwake mmejaa upendo, mapenzi na hamu ya Mungu,
ਮਨ ਤਨ ਅੰਤਰਿ ਇਹੀ ਸੁਆਉ ॥
man tan antar ihee su-aa-o.
Anatamani tuzo hii ya Naam pekee.
ਨੇਤ੍ਰਹੁ ਪੇਖਿ ਦਰਸੁ ਸੁਖੁ ਹੋਇ ॥
naytarahu paykh daras sukh ho-ay.
Akitazama maono yake yaliyobarikiwa (kufuata ushauri wa Guru), yeye anahisi kubarikiwa.
ਮਨੁ ਬਿਗਸੈ ਸਾਧ ਚਰਨ ਧੋਇ ॥
man bigsai saaDh charan Dho-ay.
Akili yake inanawiri katika raha kuu kwa kufuata mafundisho ya Guru kwa unyoofu.
ਭਗਤ ਜਨਾ ਕੈ ਮਨਿ ਤਨਿ ਰੰਗੁ ॥
bhagat janaa kai man tan rang.
Akili na mwili wa watawa wa Mungu umepandikizwa Upendo Wake.
ਬਿਰਲਾ ਕੋਊ ਪਾਵੈ ਸੰਗੁ ॥
birlaa ko-oo paavai sang.
Nadra ni yule anayejiunga na uandamano wa watawa wa Mungu kama hao.
ਏਕ ਬਸਤੁ ਦੀਜੈ ਕਰਿ ਮਇਆ ॥
ayk basat deejai kar ma-i-aa.
Ee Mungu, kwa huruma tubariki na tuzo hii moja,
ਗੁਰ ਪ੍ਰਸਾਦਿ ਨਾਮੁ ਜਪਿ ਲਇਆ ॥
gur parsaad naam jap la-i-aa.
ili kwa Neema ya Guru, tuweze kutafakari kuhusu Jina lako.
ਤਾ ਕੀ ਉਪਮਾ ਕਹੀ ਨ ਜਾਇ ॥
taa kee upmaa kahee na jaa-ay.
Ukuu wake hauwezi kuelezwa;
ਨਾਨਕ ਰਹਿਆ ਸਰਬ ਸਮਾਇ ॥੬॥
naanak rahi-aa sarab samaa-ay. ||6||
Ee Nanak, Yeye anaenea kote.
ਪ੍ਰਭ ਬਖਸੰਦ ਦੀਨ ਦਇਆਲ ॥
parabh bakhsand deen da-i-aal.
Ee Mungu wa wapole mwenye msamaha kwa wote na mwenye huruma,
ਭਗਤਿ ਵਛਲ ਸਦਾ ਕਿਰਪਾਲ ॥
bhagat vachhal sadaa kirpaal.
Ee mpenda wa kutafakari na mwenye huruma milele,
ਅਨਾਥ ਨਾਥ ਗੋਬਿੰਦ ਗੁਪਾਲ ॥
anaath naath gobind gupaal.
Ee tegemeo la wanyonge, mlinzi wa dunia.
ਸਰਬ ਘਟਾ ਕਰਤ ਪ੍ਰਤਿਪਾਲ ॥
sarab ghataa karat partipaal.
Ee mtunzaji wa viumbe vyote.
ਆਦਿ ਪੁਰਖ ਕਾਰਣ ਕਰਤਾਰ ॥
aad purakh kaaran kartaar.
Ee Kiumbe cha Asili, Ee Muumba wa ulimwengu.
ਭਗਤ ਜਨਾ ਕੇ ਪ੍ਰਾਨ ਅਧਾਰ ॥
bhagat janaa kay paraan aDhaar.
Ee tegemeo la maisha ya watawa.
ਜੋ ਜੋ ਜਪੈ ਸੁ ਹੋਇ ਪੁਨੀਤ ॥
jo jo japai so ho-ay puneet.
Yeyote anayetafakari kukuhusu Wewe anatakaswa,
ਭਗਤਿ ਭਾਇ ਲਾਵੈ ਮਨ ਹੀਤ ॥
bhagat bhaa-ay laavai man heet.
huku akimakinisha akili kwa ibada ya kujitolea kwa upendo.
ਹਮ ਨਿਰਗੁਨੀਆਰ ਨੀਚ ਅਜਾਨ ॥
ham nirgunee-aar neech ajaan.
sisi hatuna ustahili, ni wajinga na waovu,
ਨਾਨਕ ਤੁਮਰੀ ਸਰਨਿ ਪੁਰਖ ਭਗਵਾਨ ॥੭॥
naanak tumree saran purakh bhagvaan. ||7||
Ee Nanak, omba na useme, Ee Mungu, tumekuja katika pahali pako patakatifu.
ਸਰਬ ਬੈਕੁੰਠ ਮੁਕਤਿ ਮੋਖ ਪਾਏ ॥
sarab baikunth mukat mokh paa-ay. v
Fikiria mtu kuwa amepokea starehe zote za mbinguni, ukombozi kutoka kwa dhambi na kutoka kwa mizunguko ya kuzaliwa na kufa,
ਏਕ ਨਿਮਖ ਹਰਿ ਕੇ ਗੁਨ ਗਾਏ ॥
ayk nimakh har kay gun gaa-ay.
Iwapo mtu ameimba sifa za Mungu hata kwa muda mfupi.
ਅਨਿਕ ਰਾਜ ਭੋਗ ਬਡਿਆਈ ॥
anik raaj bhog badi-aa-ee.
Mchukulie kuwa amepokea nguvu ya ufalme usiohesabika, raha na utukufu.
ਹਰਿ ਕੇ ਨਾਮ ਕੀ ਕਥਾ ਮਨਿ ਭਾਈ ॥
har kay naam kee kathaa man bhaa-ee.
Anayependa kuimba sifa za Mungu.
ਬਹੁ ਭੋਜਨ ਕਾਪਰ ਸੰਗੀਤ ॥
baho bhojan kaapar sangeet.
Mchukulie kuwa amepokea raha yote ya kidunia ya mavazi mazuri, vyakula vitamu na muziki tulivu
ਰਸਨਾ ਜਪਤੀ ਹਰਿ ਹਰਿ ਨੀਤ ॥
rasnaa japtee har har neet.
ambaye daima anamkumbuka Mungu na kutamka Jina la Mungu.
ਭਲੀ ਸੁ ਕਰਨੀ ਸੋਭਾ ਧਨਵੰਤ ॥
bhalee so karnee sobhaa Dhanvant.
Vitendo vya mtu huyo ni vyema, yeye hupata utukufu na ni tajiri kiroho,
ਹਿਰਦੈ ਬਸੇ ਪੂਰਨ ਗੁਰ ਮੰਤ ॥
hirdai basay pooran gur mant.
Ambaye moyoni mwake mnaishi mafundisho ya Guru.
ਸਾਧਸੰਗਿ ਪ੍ਰਭ ਦੇਹੁ ਨਿਵਾਸ ॥
saaDhsang parabh dayh nivaas.
Ee Mungu, niruzuku nafasi katika ushirika wa Watakatifu.
ਸਰਬ ਸੂਖ ਨਾਨਕ ਪਰਗਾਸ ॥੮॥੨੦॥
sarab sookh naanak pargaas. ||8||20||
Ee Nanak, ambaye katika ushirika wao, starehe zote zinadhihirika.
ਸਲੋਕੁ ॥
salok.
Shalok:
ਸਰਗੁਨ ਨਿਰਗੁਨ ਨਿਰੰਕਾਰ ਸੁੰਨ ਸਮਾਧੀ ਆਪਿ ॥
sargun nirgun nirankaar sunn samaaDhee aap.
Mungu Mwenyewe asiye na maumbile ndiye anayemiliki sifa zote na pia hana sifa zozote. Yeye Mwenyewe anabaki katika utafakari kamili.
ਆਪਨ ਕੀਆ ਨਾਨਕਾ ਆਪੇ ਹੀ ਫਿਰਿ ਜਾਪਿ ॥੧॥
aapan kee-aa naankaa aapay hee fir jaap. ||1||
Ee Nanak, Yeye Mwenyewe ameumba ulimwengu na kuupitia uumbaji wake Yeye anatafakari kuhusu Yeye Mwenyewe.
ਅਸਟਪਦੀ ॥
asatpadee.
Ashtapadee:
ਜਬ ਅਕਾਰੁ ਇਹੁ ਕਛੁ ਨ ਦ੍ਰਿਸਟੇਤਾ ॥
jab akaar ih kachh na daristaytaa.
Wakati dunia hii haikuwa imetokea katika muundo wowote unaoonekana,
ਪਾਪ ਪੁੰਨ ਤਬ ਕਹ ਤੇ ਹੋਤਾ ॥
paap punn tab kah tay hotaa.
Ni nani aliyetenda dhambi na kutenda vitendo vizuri?
ਜਬ ਧਾਰੀ ਆਪਨ ਸੁੰਨ ਸਮਾਧਿ ॥
jab Dhaaree aapan sunn samaaDh.
Wakati Mungu Mwenyewe alikuwa katika utafakari mkubwa,
ਤਬ ਬੈਰ ਬਿਰੋਧ ਕਿਸੁ ਸੰਗਿ ਕਮਾਤਿ ॥
tab bair biroDh kis sang kamaat.
Basi nani aliyeelekezewa chuki na wivu?
ਜਬ ਇਸ ਕਾ ਬਰਨੁ ਚਿਹਨੁ ਨ ਜਾਪਤ ॥
jab is kaa baran chihan na jaapat.
Wakati hakukuwa na rangi au umbo la dunia hii la kuonekana,
ਤਬ ਹਰਖ ਸੋਗ ਕਹੁ ਕਿਸਹਿ ਬਿਆਪਤ ॥
tab harakh sog kaho kiseh bi-aapat.
Basi nani aliyehisi furaha na huzuni?
ਜਬ ਆਪਨ ਆਪ ਆਪਿ ਪਾਰਬ੍ਰਹਮ ॥
jab aapan aap aap paarbarahm.
Wakati Mungu Mkuu alikuwa mwenyewe peke yake,
ਤਬ ਮੋਹ ਕਹਾ ਕਿਸੁ ਹੋਵਤ ਭਰਮ ॥
tab moh kahaa kis hovat bharam.
Basi kiambatisho cha kihisia kilikuwa wapi, na nani aliyekuwa na shaka?